Unajua hapa tatizo ni kwamba Simon mgembea wa CCM alipita kwa pesa na waliokula hela zimeisha ndio wamegundua kwamba mambo
ya zamani kwamba atapita tuu hakuna.
Sio chagula la watu pale huyu bwana namjua sana ni Fisadi kuliko ujuavyo. Ana miaka mitatu toka aondoke huko alirudi sasabu kuna utamu
ameupata sehemu na hivyo ameingia kenye ubunge kibiashara ila ni tapeli suiambiwe na lugha laini ya kinywaranda.
Ni mnywaranda baba na mama msukuma.
Na miradi mingi ambayo inaenda kitapeli na pia aliwarussha Ushirika shirecu ni kweli na aliwarusha wananchi pamba ni kweli na pia
alipojenga kiwanda chanke alirusha ardhi ni kweli. Ana lugha nzuri kama vile nyoka ila kukumeza kwake si dakika.
Wananchi tukae chonjo na matumizi ya hea ya uchagzi kuliko kujuta the whoe life 5yrs.
Sasa ana frustration maana jimbo limeponyoka na hela kibao amepoteza. kumbuka ni mfanya biashara amesha realize loss tofauti
na mwanasiasa anainvest reasonable.
ya zamani kwamba atapita tuu hakuna.
Sio chagula la watu pale huyu bwana namjua sana ni Fisadi kuliko ujuavyo. Ana miaka mitatu toka aondoke huko alirudi sasabu kuna utamu
ameupata sehemu na hivyo ameingia kenye ubunge kibiashara ila ni tapeli suiambiwe na lugha laini ya kinywaranda.
Ni mnywaranda baba na mama msukuma.
Na miradi mingi ambayo inaenda kitapeli na pia aliwarussha Ushirika shirecu ni kweli na aliwarusha wananchi pamba ni kweli na pia
alipojenga kiwanda chanke alirusha ardhi ni kweli. Ana lugha nzuri kama vile nyoka ila kukumeza kwake si dakika.
Wananchi tukae chonjo na matumizi ya hea ya uchagzi kuliko kujuta the whoe life 5yrs.
Sasa ana frustration maana jimbo limeponyoka na hela kibao amepoteza. kumbuka ni mfanya biashara amesha realize loss tofauti
na mwanasiasa anainvest reasonable.