huyu jamaa anachanganya mambo hapa. kwanza ni pro life. pia ni interectual mkubwa , ambao kazi yao kubwa ni kutoa challenge. ko sioni kosa lake, zaidi ya kuwa amezidisha kritisizim.
ukifuatilia material zake ni kichwa cha kutisha. na inawezekana kabisa kwa tanzania, mzee mtikila akawa amemfanya huyu jamaa model wake.