Mkuu kwani elimu na ndoa vinaingiliana?????? Au nyie mliozaliwa 1990,s ndio mmekaririshwa hivyo????At least awe amefika form four, narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.
Oa mama wa watoto wako,
Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.
Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.
Ni ushauri
Nyinyi mliosoma saaana paka chuo kikuu mkae pembeni.Mtu wakuzaa nae watoto lazima achaguliwe kwa umakini, bila hivyo unaweza juta sana mbeleni.
Ila kufika Form 4 sio kigezo maana hata kilaza anaweza akafika.
Huu ubaguzi wazi wazi. Sisi wafupi nyundo twende wapi??? Dr LKabisa!!!
Ila acha tuendelee na machaguzi yetu ya tall & handsome, wallet nono, wowo etc. tutashtuka giza likishaingia.
Hawa wanawake akisoma sana mwisho chuo cha VETA.
Inatakiwa ajue kusoma , kuandika na kuhesabu , full stop.



Wajitokeze tuwaoeWapo mabinti kibao wana elimu wanasaka waume
Kuna kusahau.Kuna binti mmoja ana degree ya uhasibu lakini hajui kutafuta asilimia, mpaka nilivyomuelekeza aisee nilishangaa sana
Kwamba nisijue kutofautisha kati ya kutojua na kusahau? Tena tulikuwa tunatafuta riba ya mkopo wa mama yake, akawa anapiga hesabu uchwara anazunguka ndo nikamuelekeza, kiwango chake cha shule na kozi yake asilimia wanafundishwa siku ya kwanza tu kuingia darasani, sasa km hicho kidogo kachemka mengineyo je? Kwahiyo kwa mfumo wetu wa elimu bado huwezi kutamba eti degree ana akili kumzidi wa la saba nk
Sindo umesema mnakimbilia kwa fom foo sii???🙄🙄
Ambao hawajafika Form Four wataolewa na nani sasa?At least awe amefika form four, narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.
Oa mama wa watoto wako,
Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.
Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.
Ni ushauri
kila mara elimu ya bongo, ni hatari sana mtu kujidharau mwenyewe. Ni elimu ya wapi nyingine we umeijaribu. Watanzania utafikiri wamezaliwa na baba na mama moja. Wote wana roho za husda, chuki, wivu. Ni km Msukuma, yule anaumwa kabisa kisa yeye ameshindwa kusoma na vijisenti kidogo. Wasomo wa nchi hii ndiyo wanaoendesha nchi, we utabaki elimu ya bongo, wenzako wameenda nje wamekuta elimu ni ile ile we baki kila siku elimu ya bongo. Ondoka wapeleke watoto wako unakoona kuna elimu bora.Kwani Elimu lazima nadhani huo ni ujinga Elimu ya bongo ni upuuzi Mimi nashauri mtu atafute Mwanamke mwenye akili na sio Elimu yetu ya ku-claim kiima na kiarifu.
Kuna wanaomaliza four hawajui hata kusoma wala kuandika huyo sasa unaenda kuopoa ukamwacha akiyemaliza STD 7 akafaulu ila akakosa mtu wakumlipia ada, hapo imekaaje!sasa mkuu mpaka umefika form four si ndio uthibitisho kuwa angalau una akili..au unazungumzia akili ipi
Na ndiyo walitulea vizuri sana, tulioenda shule hata malezi ya watoto tumeshindwa kutwa kushinda humuHii akili unayoizungumzia ni ya kurithi kwenye DNA au ya wakati wa malezi? Maana ya kwenye DNA huhitaji kwenda darasani kusoma classification. Vipi wazee wetu ambao hawajui darasa (baba na mama) halafu watoto ni vipanga huko shuleni na wamelelewa vizuri au ndo zama zimebadilika!
Akili ya darasani ni tofauti na ya maisha ya kawaida, utakuwa mwanaume anajivunia elimu lakini maisha anayoishi au vitu anavyovifanya ukiambiwa huyu mtu mwenye elimu yake zakutosha mpaka unamuogopa, njoo sasa kwenye maisha ya nyumbani mbuzi si mbuzi ,ng'ombe si ng'ombe ndama si ndama unabaki kushika kichwa, mie nazani na malezi toka kwa wazazi yanachangia, mtoto darasani pia apate elimu ya maisha ya kawaida ,na akili ya kuzaliwa nimuhimu sana( Mungu anahusika)Utafika mbali Sana daktari.
Watu wasichokielewa ni kuwa akili za darasani ni tofauti kabisa na za maisha.
Kuwa na uwezo wa kutoboa form foo haimaanishi wewe ni mzuri kiakili zaidi ya ambae hakusoma kabisa.