fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,498
- 27,758
Ikonsiku na mm ntapata binti mrembo na msomi asie kuwa mtu wa vgodoroWapo mabinti kibao wana elimu wanasaka waume
Ikonsiku na mm ntapata binti mrembo na msomi asie kuwa mtu wa vgodoroWapo mabinti kibao wana elimu wanasaka waume
Nakuombea uendelee kuwa hivoNa sijawahi mkuu
Fafanua maana ya malezi ya msingi ya watotomalezi ya msingi ya watoto
Njoo nikugawieNinayowapi![]()
Kuna kuzaa mtoto chizi kabisa kaangalie watu kibao mengine ni laana na maagano ya ukoo.
Oa mwanamke mweny akili sio elimu ,elimu haiwezi kurithiwa hata kwa genitic ila akili na tabia zinaweza kurithiwa.
Elimu juu ya watoto ni kuwatengenezea mazingira na kufanya uwekezaji ila ukizaa mtoto chere kama yule kiongozi mwanae aliramba Four pekee yake huko Feza![]()



sasa mkuu mpaka umefika form four si ndio uthibitisho kuwa angalau una akili..au unazungumzia akili ipiMzee sasa hivi hawafaulu wanahamia tu kwend sekondari🤣🤣sasa mkuu mpaka umefika form four si ndio uthibitisho kuwa angalau una akili..au unazungumzia akili ipi
Hata kama wewe oa tu aliesoma mkuu angalau form fourIkiwa hujasoma
Unamaanisha 'Reasoning capacity'?Ukweli mchungu huu ila kwangu mimi angalau diploma ndio minimum ili wakati tunabishana ndani tunabishana kweli na mtu
Unakuta phd holder unabishana na watoto waliokimbia shule!!! Yaani darasa la saba !!!
Lessoning capacity ya Mwanamke ni muhimu Sana kwenye ndoa.
Acha lasaba waonae wao kwa wao!!!
Hivi unajua wanawake wengi wenye akili ni submissive? Hao wenye elimu za BRN; ni wangapi wapo tayari kuji-submit kwa waume wao?Sure lakini ni wachache sana sana
Katika maisha bn kila MTU anamtazamo wake ko huwezi kumpangia MTU as long as mOyo umependa ko hayo in mawazo yako wewAt least awe amefika form four..narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.
Oa mama wa watoto wako,
Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.
Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.
Ni ushauri
Ushauri tu boss wangu..maamuzi ni yakoKatika maisha bn kila MTU anamtazamo wake ko huwezi kumpangia MTU as long as mOyo umependa ko hayo in mawazo yako wew
Basi we ni mshamba wa elimu ,hujawahi kuona utendaji wa wafanyakazi wenye elimu tofauti.Ukweli mchungu huu ila kwangu mimi angalau diploma ndio minimum ili wakati tunabishana ndani tunabishana kweli na mtu
Unakuta phd holder unabishana na watoto waliokimbia shule!!! Yaani darasa la saba !!!
Lessoning capacity ya Mwanamke ni muhimu Sana kwenye ndoa.
Acha lasaba waonae wao kwa wao!!!
ReasoningUnamaanisha?