uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,047
- 8,537
RIP legend
Dream Team kweli ilikuwa ni dream team!Akili kubwa sana walitumia "Dream team" either kuthibitisha kutokua na hatia au kumchomoa mwamba kwenye msala..
Jamaa kila angle alikua anakamatika, kama kweli "THE LAPD" au Drugs dealers wali mframe mwamba, hapana shaka na smartness waliyotumia.
Kumbuka hii case mpka leo jamaa, kuna maswali bado yana yanaacha majibu alichomokaje?
Wengine wanasema, ile media coverage, umaarufu na hasa rangi, vilisaidia kumtoa, kwa maana ya kwamba kwa kipindi kile cha ubaguzi mkali, kuna mazingira flani majaji walifanya maamuzi kwa kuzingatia udhaifu wa racial yake ili at least kuonesha jamii kama hakuna ugandamizaji.
RIP...Former American footballer O.J. Simpson has died at the age of 76, according to reports.
In a statement on X, his family said: "On April 10th, our father, Orenthal James Simpson, succumbed to his battle with cancer.
"He was surrounded by his children and grandchildren.
"During this time of transition, his family asks that you please respect their wishes for privacy and grace."
Simpson was tried for murder in October 1995, in what was dubbed the "trial of the century". He was found not guilty of murdering two people.
View attachment 2960831
Hata dave chappelle ana joke yake akiwa stejini anasema... Kila black anajua he did itRIP.
Huyu jamaa alifanya American Judiciary system ionekane a Joke... Hususan baada ya kutoa kitabu cha Ku-joke kilichofanyika
Anyway nikim-qoute
Chris Rock... I don't say O.J. Did it...., But I understand....
Nadhani msemo wa getting away with murder (literally) ukitaka concrete evidences na Case Studies za Kutosha wewe Angalia American Judiciary.Hata dave chappelle ana joke yake akiwa stejini anasema... Kila black anajua he did it
Sijui unachoongea lakini OJ hakuwa maskini baada ys kesi zote mbili. Alikuwa analipwa pensheni yake ya NFL ambayo nina uhakika ilikuwa inatosha kuishi maisha mazuri tu. By the way kama OJ angekuwa fukara ingekuwa big news.Kwa mtoto wake. Wakati anaachiwa mwaka 2017 sharti mojawapo si ilikuwa ajulikane atakwenda kuishi wapi na nani ataendesha maisha yake??
Unajua ni kwa nini sharti Hilo liliwekwa!!??
Exactly!$7 Million Worth OJ Simpson Receives A Hefty Monthly Pension From NFL
Even after multiple controversies and retirement from the league, OJ Simpson receives a huge amount of pension from the league every month.www.essentiallysports.com
$25,000.00 kwa mwezi kwa mtu aliyestaafu, siyo kuishi kimaskini.
Jamaa hajui anachokiongelea.
I also remember there was crazy rumour that Chloe Kardashian was OJ's child.Kwa wale ambao hamjui, umaarufu wa akina Kim Kardashian ulianzia na timbwili la O.J. Simpson.
Robert Kardashian, baba yake na Kim Kardashian, alikuwa rafiki wa OJ.
Pia, alikuwa ni wakili wa OJ.
Kwa vile kesi ya OJ ilibamba sana, wahusika wakuu wa kesi hiyo wakaishia kuwa ni watu maarufu.
Johnnie Cochran, Marcia Clark, Chris Darden, Robert Kardashian, Alan Dershowitz, F. Lee Bailey, Mark Furhman, Judge Lance Ito, n.k.
Baadaye watoto wa Robert Kardashian ndo wakautumia umaarufu alioupata baba yao kwa kuwa wakili na rafiki wa OJ, na wao kujipatia umaarufu.
Pichani hapo ni Robert Kardashian na OJ Simpson.
View attachment 2960897
Wewe ndio huelewi kbsa story ilivyoWatazamaji milioni 95 tulishuhudia OJ akiwa anakimbizwa na police wakati ule
Atakumbukwa kuwa mchezaji mahiri na pia hiyo Chase ambapo alimuua mke wake na rafiki wa mke wake
Dunia hii ni mapito ila hiyo kesi angefungwa hasara ingekuwa kubwa sana maana Blacks walidhamiria kuchoma kila mahali
Wakaweka gloves ambayo ilikuwa sio yake ili kesi ifutwe tu lakini aliuwa kwa kukusudia
Au sio wakongwe
Hadithia basi labda nimesahauWewe ndio huelewi kbsa story ilivyo
HakunaNaona kila mtu anaamini huyu jamaa alimuua kweli mkewe . Hivi hamna possibility yoyote kwamba huyu mwamba alikuwa framed na watu wasiomtakia mema?
Akili kubwa sana walitumia "Dream team" either kuthibitisha kutokua na hatia au kumchomoa mwamba kwenye msala..
Jamaa kila angle alikua anakamatika, kama kweli "THE LAPD" au Drugs dealers wali mframe mwamba, hapana shaka na smartness waliyotumia.
Kumbuka hii case mpaka leo jamaa, kuna maswali bado yana yanaacha majibu alichomokaje?
Wengine wanasema, ile media coverage, umaarufu na hasa rangi, vilisaidia kumtoa, kwa maana ya kwamba kwa kipindi kile cha ubaguzi mkali, kuna mazingira flani majaji walifanya maamu
Ushahidi dhidi yake ulikuwa overwhelming na ana history ya domestic violence.Naona kila mtu anaamini huyu jamaa alimuua kweli mkewe . Hivi hamna possibility yoyote kwamba huyu mwamba alikuwa framed na watu wasiomtakia mema?
Huyu baba yao kina kardasian so alikuja kubadili jinsia baadae na kua mama yao?Kwa wale ambao hamjui, umaarufu wa akina Kim Kardashian ulianzia na timbwili la O.J. Simpson.
Robert Kardashian, baba yake na Kim Kardashian, alikuwa rafiki wa OJ.
Pia, alikuwa ni wakili wa OJ.
Kwa vile kesi ya OJ ilibamba sana, wahusika wakuu wa kesi hiyo wakaishia kuwa ni watu maarufu.
Johnnie Cochran, Marcia Clark, Chris Darden, Robert Kardashian, Alan Dershowitz, F. Lee Bailey, Mark Furhman, Judge Lance Ito, n.k.
Baadaye watoto wa Robert Kardashian ndo wakautumia umaarufu alioupata baba yao kwa kuwa wakili na rafiki wa OJ, na wao kujipatia umaarufu.
Pichani hapo ni Robert Kardashian na OJ Simpson.
View attachment 2960897