Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,521
- 34,336
Kwa mtoto wake. Wakati anaachiwa mwaka 2017 sharti mojawapo si ilikuwa ajulikane atakwenda kuishi wapi na nani ataendesha maisha yake??Sio kweli, OJ hajafa maskini. Hakuwa tajiri lakini pia hakuwa fukara. He was living comfortably.
Unajua ni kwa nini sharti Hilo liliwekwa!!??