Nyumba za kupanga majanga sometimes

Nyumba za kupanga majanga sometimes

Kuhama Kwa sababu hiyo tu sio Sawa. Unakimbiaje tatizo badala ya kufikiria kukutafuta? Huwez kupata mtu wa kusafisha Choo ukifika Zamu yako ukampa buku?

Imagine upo peke yako nyumba nzima, je angesafisha Nani?
 
Wamama wenye nyumba rahisi sana kuishi nao. Ukisafiri siku ya kurudi kabla ya kufika nyumbani pitia urafiki chukua viroba viwili vya mchele, mikungu ya ndizi , kiroba Cha mihogo na vitunguu vingi. Tia kwa taxi ukifika mpe mama mwenye nyumba mwambie zawadi toka kwa wazazi wako huko mkoani.
Fanya hivyo kila ukisafiri.
Utakaa hapo Hadi utakapojenga
Hii inaweza kuwa kweli, kwangu nilikuwa nafanya kama kumpa heshima tu kama mama yangu, lakini amekuwa akitunza nyumba yangu kama yake since nafika pale kwa mwezi mara moja tu.
 
Kuhama Kwa sababu hiyo tu sio Sawa. Unakimbiaje tatizo badala ya kufikiria kukutafuta? Huwez kupata mtu wa kusafisha Choo ukifika Zamu yako ukampa buku?

Imagine upo peke yako nyumba nzima, je angesafisha Nani?

Mpaka nafikiria kuhama ujue huko kote nshapita...nishaomba niwe natoa hela ila wamegoma
 
Wanakuwaga viherehere sana yani! Usiingize demu! Mara sijui wageni hapendi utoto wa hali ya juu na kodi ikifika mda wa kulipa kama huna anakutoa roho
Wenye nyumba wengine vichefu chefu..masharti kibao utasema yeye ndo wakwanza kuwa na nyumba...anakwambia ukileta mgeni utoe taarifa..[emoji706]
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni
Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu
Angalau wewe ulipata hicho cha mtoto mwenzio mimi na mke wangu tuliambiwa tunyee ndoo chumbani kwetu usiku maana choo kilikua cha nje. Kisa eti atakuja kuibiwa ukumbini kwake. Nilihama bila kodi yangu ya miezi miwili kumaliza.
 
Wenye nyumba wengine vichefu chefu..masharti kibao utasema yeye ndo wakwanza kuwa na nyumba...anakwambia ukileta mgeni utoe taarifa..[emoji706]
Yupo mmoja aliwahi kunichaji hela ya kunya mgeni wangu aliekuja kwa ajili ya interview nikamuachia rum siku 3!

Eti ningetoa taarifa kwa boya mmoja ambaye ni mpangaji mwenzetu ila ana act kama kijumbe wa pale magetoni! Nikampa 20000 ila nilienda lipa pengine nikahamisha vitu vyangu na kupaacha pamefungwa mpaka mda ulipoisha nikakabidhi funguo!
 
Hiyo itakuwa nyumba za uswazi tu, mambo ya kushea vyoo na mabafu!
 
Kiukweli naishi na mother house ila ndiyo kila mtu busy na mambo yake, ni salamu tu na stories kidogo,kuhusu usafi alisema atasimamia shoo zote za usafi ila tutachangia kidogo so kwangu it's ok kabisa.

Na anatujali wapangaji wake kipindi cha covid na kujifukiza alikua anaandaa mchanganyiko anatuamsha asubuhi tujifukize, akiona kimya umechelewa kuamka maybe anakuita ajue unaendeleaje isijekua umezidiwa humo ndani. 👏
The best mother house ever
 
Mi nilipanga nyumba yenye vyumba 8 - vinne kila upande pale magomeni miaka hiyo, nyumba haikuwa na dari - vyumba vitatu walipanga mabinti na vingine 2 tulipanga vijana afu vingine vitatu walitumia mama mwenye nyumba maana alikuwa na familia. -- sasa aiseee yaliyokuwa nashuhudia mule si mchezo... mengine ni kero mengine yanahamasishaa....
 
jiongeze wewe, mama mwenye nyumba anakutaka uyoo
Tatizo ni mama mwenye nyumba anataka bila kujali mwezi mtukufu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, huyu bwana si mstaarabu katika matumizi ya vyoo.
Kama umeelewa, mama mwenye nyumba anataka huyu bwana aone tabu yakusafisha ili ajifunze kutumia kistaarabu ndio maana mama kakataa huyo mwamba kununua vifaa, anataka ASAFISHE choo.

Watu wa hivi huwa:-
Hawamwagi maji wakikojoa
Wakitoka haja kubwa wanamwaga maji machache mzigo hauendi
Hawahakikishi ile mistari ya kinyesi inayobaki kwenye sink imeondoka
Wakikojoa hawalengi tundu, choo kizima mikojo tuu.
Wanaingia na viatu vinamatope nakuyaacha bila kuyamwagia maji.
Wakikuta maji hamna/ hayatoki wanaacha mizigo yao hapo na kuondoka, hawajishuhulishi kutafuta maji.

Sio lazima yawe yote haya, ila lazima kuna yanayomuhusu.
 
Hapana, huyu bwana si mstaarabu katika matumizi ya vyoo.
Kama umeelewa, mama mwenye nyumba anataka huyu bwana aone tabu yakusafisha ili ajifunze kutumia kistaarabu ndio maana mama kakataa huyo mwamba kununua vifaa, anataka ASAFISHE choo.

Watu wa hivi huwa:-
Hawamwagi maji wakikojoa
Wakitoka haja kubwa wanamwaga maji machache mzigo hauendi
Hawahakikishi ile mistari ya kinyesi inayobaki kwenye sink imeondoka
Wakikojoa hawalengi tundu, choo kizima mikojo tuu.
Wanaingia na viatu vinamatope nakuyaacha bila kuyamwagia maji.
Wakikuta maji hamna/ hayatoki wanaacha mizigo yao hapo na kuondoka, hawajishuhulishi kutafuta maji.

Sio lazima yawe yote haya, ila lazima kuna yanayomuhusu.
Nitake radhi....tafadhar....siku za weekend nafanya usafi ila kuanzia jumatatu - ijumaa ndio nimeomba ivo wamekataaa basi nitakuwa najidamka alfajir nadeki...kodi ikiisha naepa
 
Kuhama Kwa sababu hiyo tu sio Sawa. Unakimbiaje tatizo badala ya kufikiria kukutafuta? Huwez kupata mtu wa kusafisha Choo ukifika Zamu yako ukampa buku?

Imagine upo peke yako nyumba nzima, je angesafisha Nani?
Huyu wanataka asafishe yeye ili aione adha, bila shaka anachangamoto katika utumiaji. Choo kinatakiwa kitumiwe kistaarabu sana.
 
Nilikuwa nakula baga hapa ila mada za choo zimenitapisha
 
Huyu wanataka asafishe yeye ili aione adha, bila shaka anachangamoto katika utumiaji. Choo kinatakiwa kitumiwe kistaarabu sana.
Mkuu ulivyokomalia iyo ishu ungejua sishindi nyumbani muda mwingi nipo nje ya nyumba hata usingesema....nikioga asubuh imetokaa......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom