Mlainishe na kilo ya nyama au kuku wa kienyeji.Hii nzuri aisee...basi ata ukimwambia nitachangia hela ya usafi yeye anataka nidekiii tu [emoji706][emoji706][emoji706]
Mimi nilikua na mtaim siku za sikukuu za kiislam. Hana hili Wala lile namletea mchele, ndizi bukoba, nyama na kuku mmoja wa kiswahili. Namuambia desturi za kwetu upareni sikukuu tunakula pamoja