Nyumba za kupanga majanga sometimes

Nyumba za kupanga majanga sometimes

Aisee ninapokaa nilibahatika kupata father house msela (bachelor) halafu ni age mate tu kanizidi miaka 4..Hakuna longolongo kabisa mimi na father house wangu..sisi hatunaga bill ya umeme, yaani ukikatika ndo tunaweka hatuna zile sijui kwa mwezi 15000...Halafu tupo wawili tu yaani ni full bata...siku za weekend kila mtu yupo home, father house ananiamsha asubuhi tunapiga roadwork yetu kukata carolies.

Kiukweli sina mpango wa kuhama hapo hadi BAADAE SANA.​
 
Sijakataa lakin nilimuomba kutokana na pilika pilika zangu asubuh nikikurupuka nakuwaga fasta...lakin ameshakataa sasa najidamka mapemaaa nadeki... kodi ikiisha nihame...maana nachelewa kutoka
Lipa mtu asafishe acha konakona,
 
Aisee ninapokaa nilibahatika kupata father house msela (bachelor) halafu ni age mate tu kanizidi miaka 4..Hakuna longolongo kabisa mimi na father house wangu..sisi hatunaga bill ya umeme, yaani ukikatika ndo tunaweka hatuna zile sijui kwa mwezi 15000...Halafu tupo wawili tu yaani ni full bata...siku za weekend kila mtu yupo home, father house ananiamsha asubuhi tunapiga roadwork yetu kukata carolies.

Kiukweli sina mpango wa kuhama hapo hadi BAADAE SANA.​
Daah apo ni poa sana mkuu.
Mazahausi ndo mala nyingi huwa wazinguaji na kua na visirani sana tofauti na mafaza hausi sijui kwanini.

Masharti kibao ya ajabu ajabu utawekewa na mazahausi ila ukikuta nyumba kuna fazahausi kidogo ahueni maana huwa sio waongeaji sana.
 
Aisee ninapokaa nilibahatika kupata father house msela (bachelor) halafu ni age mate tu kanizidi miaka 4..Hakuna longolongo kabisa mimi na father house wangu..sisi hatunaga bill ya umeme, yaani ukikatika ndo tunaweka hatuna zile sijui kwa mwezi 15000...Halafu tupo wawili tu yaani ni full bata...siku za weekend kila mtu yupo home, father house ananiamsha asubuhi tunapiga roadwork yetu kukata carolies.

Kiukweli sina mpango wa kuhama hapo hadi BAADAE SANA.​
Usafi chooni anafanya nani?
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k ukizingatia kuna wapangaji wengine wakike, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni[emoji52]

Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu
Utakuwa unachafua sana choo wewe! Siyo bure. Mama mwenye nyumba atakuwa amekuvumilia, amechoka! Hivyo anataka na wewe ujue ugumu wa hilo zoezi.

Na kama siyo kweli, basi nenda katafute chumba chenye choo ndani ili kuepukana na hizo karaha.
 
Sijakataa lakin nilimuomba kutokana na pilika pilika zangu asubuh nikikurupuka nakuwaga fasta...lakin ameshakataa sasa najidamka mapemaaa nadeki... kodi ikiisha nihame...maana nachelewa kutoka
Ongea na mpangaji mmojawapo kuwa unamfinyia kiasi flani Cha hela alafu anakua akushikia zamu money talk
 
Sijakataa lakin nilimuomba kutokana na pilika pilika zangu asubuh nikikurupuka nakuwaga fasta...lakin ameshakataa sasa najidamka mapemaaa nadeki... kodi ikiisha nihame...maana nachelewa kutoka

Mkuu hakuna sehemu ukaenda wakaelewa eti kisa una pilika, ninavyojua sheria hizo huwa unaambiwa kabla hujahamia, hapo wewe labda ungeongea na hao wapangaji wa kike uwe unawalipa siku ya zamu zako ili wadeki.

Ila hiyo ya kusema eti muda unakaba siwezi, nyumba nyngi hawakuelewi mwisho wa siku wewe ndio utaonekana mtata....
Kila la heri
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k ukizingatia kuna wapangaji wengine wakike, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni[emoji52]

Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu

Mkuu Mwanakulipata salam kwako. Pole kwa majukumu yanayokufanya uamke asubuhi sana na kurudi nyumbani umechelewa. Nimejaribu kusoma kati ya maneno na kati ya mistari ya ulichoandika na kung'amua kwamba hata siku ambazo huendi Kazini hutoweza kudeki vyoo kwavile wewe sio mwanamke. Mkuu Mwanakulipata naomba nikupongeze kwavile umeinua mabega kumweelekea Mungu.

Pole Sana. Unatakiwa ushuke chini kidogo ili jamii unayokaa isijekudharau

Ahsante
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k ukizingatia kuna wapangaji wengine wakike, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni[emoji52]

Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu

Mkuu Mwanakulipata salam kwako. Pole kwa majukumu yanayokufanya uamke asubuhi sana na kurudi nyumbani umechelewa. Nimejaribu kusoma kati ya maneno na kati ya mistari ya ulichoandika na kung'amua kwamba hata siku ambazo huendi Kazini hutoweza kudeki vyoo kwavile wewe sio mwanamke. Mkuu Mwanakulipata naomba nikupongeze kwavile umeinua mabega kumweelekea Mungu.

Pole Sana. Unatakiwa ushuke chini kidogo ili jamii unayokaa isijekudharau

Ahsante
 
Wenzio hapa kila tukipika lazima masufuria tuliyopikia tumkabidhi baba mwenye nyumba kwanza kabla ya kuyaosha, ila sihami ng'oo tutabanana hapa hapa!
Ahahahahahah
 
Kiukweli naishi na mother house ila ndiyo kila mtu busy na mambo yake, ni salamu tu na stories kidogo,kuhusu usafi alisema atasimamia shoo zote za usafi ila tutachangia kidogo so kwangu it's ok kabisa.

Na anatujali wapangaji wake kipindi cha covid na kujifukiza alikua anaandaa mchanganyiko anatuamsha asubuhi tujifukize, akiona kimya umechelewa kuamka maybe anakuita ajue unaendeleaje isijekua umezidiwa humo ndani. [emoji122]
Masha Allah!
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k ukizingatia kuna wapangaji wengine wakike, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni[emoji52]

Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu
Nenda katufute vyumba vya self hama huko uswazi
 
Unaanzaje kupanga sehemu mna share washroom!?
Unafeli mkuu,hizo sehemu nyeti sana .
 
halafu watu wabishi kwenye usafi huwa ndo wachafuzi haswaa

jitahidi upange self
 
Ukideki choo unachotumia wala hautakufa. Cha msingi ikifika zamu yako we deki tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom