Nyumba za kupanga majanga sometimes

Nyumba za kupanga majanga sometimes

Saa kumi na moja alfajiri choo hakidekiki au hakitakati????

Miss u

1619544074917.png
 
Mimi wapangaji wanalazimisha kudeki,kila mtu zamu,
Kuhusu ufagio cjui sabuni, wanasema kila mtu anaweza nunua

Nikiwa Sina hela huwa nadeki, nikipata hela huwa natafta mmama yyte mtaani Nampa ujira wake,,anadeki fresh

Mbaka zamu yangu ya siku tatu iishe
Afu Sina shobo na wapangaji wanaotak niwape dili ya kudeki
 
Hii nyumba niliyopanga mama mwenye nyumba anaishi hapa hapa, kuna kitu kinanikwaza mno

Wiki iliyopita narudi gheto akaniita akaniambia kuna ratiba ya kudeki choo nikamwambia sawa haina shida lakin mimi kutokana na mishe zangu naondoka mapema sana saa 11 alfajiri siwezi kudeki nitakuwa nanunua vifaa kama ufagio na sabuni n.k, lakini mama mwenye nyumba amekazanaa amenyooka na mimi nideki chooni
Kodi ikiisha nasepa mapema tu, kuishi na mama mwenye nyumba tabu

Kupanga nyumba ya kushare luku,maji,umeme au kukaa na mwenye nyumba hapo hapo ni majanga.
 
Saa kumi na moja alfajiri choo hakidekiki au hakitakati????
Mkuu ngoja nkwambie uenda hamjanielewa, usafi sio kwamba sifanyii...mwanzo nilikuwa nafanya ila ratiba zangu sasaivi zinantaka niwahi kutoka mapema sana kama ushkaa kigambon nadhan utakuwa unaelewa zile kashkash za kusubiria panton...nikamuomba mwenye nyumba kama inawezekana nitoe hela kwa wiki baada ya kudeki ama ninunue vifaa ila ikifika wikiend nadeki sababu nipo free..amegoma yaani ni sjui gubu..nimekubali kiroho safi..japo nawahi sana kuamka...
 
Tafta mmama yyte mtaani mpe hela akudekie acha porojo siwenyewe wapangaji (wenzetu) vipele wametupa zamu za kudeki,,
Mkuu ngoja nkwambie uenda hamjanielewa, usafi sio kwamba sifanyii...mwanzo nilikuwa nafanya ila ratiba zangu sasaivi zinantaka niwahi kutoka mapema sana kama ushkaa kigambon nadhan utakuwa unaelewa zile kashkash za kusubiria panton...nikamuomba mwenye nyumba kama inawezekana nitoe hela kwa wiki baada ya kudeki ama ninunue vifaa ila ikifika wikiend nadeki sababu nipo free..amegoma yaani ni sjui gubu..nimekubali kiroho safi..japo nawahi sana kuamka...
 
Hzi nyumba za kupanga shida ni nyingi sana kuliko raha hasa kwa wakazi wa mjin..

Siku iz moja ya mashart ya kutafuta room la kuish ni kumwambia dalali nyumba isiwe na mwenyenyumba ili mjiongoze wenyew tu

Japo kero kubwa nyumba kama hzi wanaishi kina mama wa nyumban tu,hawa kazi yao ni kupika masaa yote koridoni,msela nashindwa hata kupita na demu kisa naogopa kuruka ruka miguu yao au vyungu na majiko wanayopikia

Hata ukifanikiwa kupita jua kifatacho utasikiliziwa kinachoendelea humo ndan ni nn..salute kwetu mikoroshini
 
Bora nimwongeze pesa kuliko zamu ya kudeki choo, next time angalia mkataba wa usafi kabla ya kuingia
 
Sijakataa lakin nilimuomba kutokana na pilika pilika zangu asubuh nikikurupuka nakuwaga fasta...lakin ameshakataa sasa najidamka mapemaaa nadeki... kodi ikiisha nihame...maana nachelewa kutoka
Suala la kudeki choo huwa ni wanawake. Mm hapa nililipa hela ya ufagio tu. Ila changamoto ni umeme tu. Kodi yangu ikiisha nahama
 
Nakumbuka siku ile alitugongea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji2226][emoji2226][emoji2226][emoji2226]
😀😀😀😀🙌
 
Kiukweli naishi na mother house ila ndiyo kila mtu busy na mambo yake, ni salamu tu na stories kidogo,kuhusu usafi alisema atasimamia shoo zote za usafi ila tutachangia kidogo so kwangu it's ok kabisa.

Na anatujali wapangaji wake kipindi cha covid na kujifukiza alikua anaandaa mchanganyiko anatuamsha asubuhi tujifukize, akiona kimya umechelewa kuamka maybe anakuita ajue unaendeleaje isijekua umezidiwa humo ndani. [emoji122]
Wapo hapo umepanga je kuna nafasi mkuu
 
Sisi huku kanda ya kati. Hayo mambo wanafanya wanawake. Wanaume wananunua ufagio na vifaa vingine vya usafi. Dar huko kumejaa wanawake wanaharakati wanaodai 50/50.
Pole sana
Kudeki ni suala la wanawake?? wee kweli bado sana
 
Sasa mkuu unataka we uwe unatumia tu choo wanadeki wengine mwamba. Kununua mafagio sio ishu, kila mtu anaweza kununua mafagio na sabuni, kwani bei gani. Kila mtu akinunua mafagio yatajifagia yenyewe?

Sometimes vitu vingine kuamua tu mkuu. Kudeki choo unachotumia mwenyewe wala sio uduanzi. Siku ya zamu yako Amka mapema deki oga sepa zako
Comrade hebu angalia hii hapa...

Gettoni nilipokuwa nimepanga hapo nyuma kuna mayankee kama watatu mimi nikiwa wa nne na bimkubwa wenu na wamama wawili wapo hapo pia.

Ratiba ya usafi wamama wamesema vinunuliwe vifaa wao watakuwa wanafanya usafi, but mimi nimesema nanunua vifaa pia nitafanya usafi, haya sasa wale jamaa zako 3 hata kugusa mop kusukuma maji hawana muda na ndiyo chapombe kweli kweli pale getto.

Unaweza kujifunza tabia za mtu kwenye hali kama hiyo na si kusema kununua vifaa au kufanya usafi, kama umelelewa ovyo hata eneo utakaloishi litakuwa ovyo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom