Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Pole sana
Pole sana.
Wanaume wa dar bana. Huko Dar kumejaa wanawake wanaharakati wanaotaka haki sawa 50 kwa 50. Huku kanda ya kati, hayo mambo wanafanya wanawake. Tangu nimepanga sijawahi kufanya usafi chooni wala bafuni. Sisi wanaume kazi yetu ni kununua vifaa vya usafi na sabuni tu.
Pole sana.