Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Yule babu akagusia hayo kwenye rasimu yake, kwanza hivyo vitu vinataka ukaguzi tu sasa vyombo husika vipo pengine tatizo ni wahusika wavivu (CAG) or to do with resources za kuwawezesha ie capital (equity or human). Njia nyingine ni kuongeza vyombo vya ukaguzi nimeona kuna wengine lakini more needs to be done in terms of improving accountability kwanza hata unamsikia huyo mzee wa rasimu akiangaika na haya yeye muungano tu ndio muhimu kwenye rasimu yake ambayo BLK wanadai katiba mpya ina mapendekezo 81 yaleyale labda yamekwa kisheria zaidi. Sasa sijui bado amezira kwanini ana matatizo yule grumpy old man.Na ile Rasimu ya Katiba ambayo ingeweza japo kugusa maeneo hayo imekuwa kama mbingu na dunia.Imeshakwenda na maji na Aliyeajitahidi kuitayarisha ndiyo huyo anaoga MATUSI na DHIHAKA,tumeletewa hii ya Kuimaliza na kuuza hata miguu yetu,sina uhakika kama tumebaki nayo,maana vichwa vyetu viliishauzwa,sina uhakika wa tumbo na miguu.