Tatizo kubwa la TZ ndio hilo. mambo yanafanyika kichinichini na maujenzi, yakisha kamilika ndio watu wanataja gharama zilizotumika, na wakati huo ni too late. watu wameshamega la kwao kwa nguvu tu.
Nchi zilzo endela kama wanaaka kujenga kitu au kufanya kitu, kitu cha kwanza wanatangaza na kuweka gharama zote baada ya hapo wananchi wanajadiliana ilikupata ufumbuzi mzuri.
Tusema hapo kama ingetangazwa na kuandika kwenye magazetikuhusu ujenzi wa hizo nyumba, na kuweka uwazi aina ya nyumba na gharama itakayogharimu, na ikiwezekana kuweka picha aina za CAD, picha hizo ni mara mmoja zinachorwa kwenye compter, basi watu wengejua ni kitu gani kinacho endelea na hizogharama ni halali au sio. Hapo isingetokea uwizi kabisa, labda huyo kandarsiachakachue kwenye cement na vifaa.
Tunaoma serekali ifanye kama hivyo, kutangaza kwanza jamboili wananchi wajue na kujadili kwanza, ingawa kuna watakao pinga lakini uwizina ufisadi utapungua sana.