Kwa maoni yangu uzembe sidhani kama unafanyika kwa auditor tu mfumo wote ni uozo ambao inabidi ubadlishwe. Maana ya tender ni kwamba unachagua mkandarasi/mzabuni ambaye ni nafuu na mwenye kufanya kazi ya kiwango. What is the point ya kuweka mkandarasi ambae anajipangia bei si bora walimu wa shule wa simamie miradi yao ya ujenzi wenyewe.
Mkandarasi lazima aje na gharama za kufanya hiyo project na ndipo anapo pewa tender kwa sababu ya value for money. Mbele ya hapo mkandarasi pia anatakiwa kuwa na mahesabu yake ambayo yanapitia kwa accountant wao na kunakuwa na ukaguzi wa serikari mara nyingi by law hili tuakikishiwe kodi kalipa sahihi wakati ukifika.
Kwa maana hiyo hela ya serikari inakaguliwa mara mbili; imetumika vipi kutoka kwenye halmashauri na kwa mkandarasi inakaguliwa kama kweli alipewa hiyo na ailipie kodi in the end.
Isitoshe mkaguzi mkuu nchi za wenzetu akagui kila sehemu yeye pia ni verifier wa wakaguzi wadodogo wa serikari wa sector anaweza verify account anazopewa yeye mwenyewe kwa kuibuka kwa mkandarasi na akaenda halmashauri in short ni kwamba hakuna kujuana na akitegemewi chombo kimoja. Sheria imevunjwa au kuna dosari hakuna anaeangaika na mkandarasi labda mahakama lakini waziri kazi hana it is simple as that maana kama ulipewa ripoti ya ufujaji mwaka uliopita na mambo yaleyale yapo mwaka ujao what is point ya wewe kuwa na kazi mtu mzembe unaelitia hasara taifa na wengine kibao wanaelekea jela waliohusika na wizi au fraud ya aina yeyote.
Ndipo hapa wengine tunaona kuna umuhimu wa kuweka vijana hawa jamaa wa sasa wameishiwa mawazo CAG kila mwaka anakuja na kasoro hela zilizotolewa azijaenda sawa (Halafu kazi yake ni kubwa sana), kwa wenzetu mkaguzi wa serikari kila mwaka akikuta kasoro zinazotoa mianya anaishauri na serikari tungeni sheria hizi na hizi kusudi utaratibu ulindwe na sheria na mambo yafanyike according by law. Kiongozi wa bunge sanasana waliopo kwenye kamati atakiwi kusubiri mpaka CAG alete ripoti wanaweza amua mkaguzi local alete ripoti ya shirika fulani na management ikaitwa kukaangwa au waziri wa serikari za mitaa na elimu wakaitwa pamoja kuulizwa mikakati yao ya tender za shule inakuwa liaised vipi.
In short the supervision mechanism is weak, most people are not doing their jobs plus creativity to improve is zero, unaona kwanini tunahitaji kijana si kwa sababu ana nguvu tu hapana wana mawazo mapya hawa watu na wapo more informed. Inabidi tutoke kutoka kwenye kuamini kiongozi ni kama mungu na kurudi kwenye uongozi ni dhamana na wenye majukumu ya uwajibikaji mtu anaefikiria hivyo atarekebisha tu.
Hatutosikia tena muhimbili inadaiwa mabillioni bila ya kujua sababu ni nini makosa ya management au hela iliyocholewa kama kuna wakaguzi local wanaweza toa habari haraka kujua makosa as organisation operate.