Nyumba ya mama Maria Nyerere

Japokuwa kweli wamefanya usafi wa mazingira lakini, si wakiwango cha kuhoji kama anawasaidi au laa. Ni usafi wa kawaida na wakijamaa ambao kwa familia yenye mfumo wa kijamaa haustahili kuhojiwa.

Wasaidizi wapo na wanafanya kila kilichowapeleka pale lakini watu kama jeshi linapofika kwa mtu muhimu kama yule, linamatakwa yake yakufanya usafi, kumbuka jeshi linastaili yake ya usafi, kama wewe ulifyekea juu nyasi wao watafyekea chini.

Hivyo sio kweli kwamba kuna uchafu wa kutisha mkuu.

Hawa wanajeshi walifika jana asubuhi,at 08;30 hours. Mimi nilikuwa sifahamu kuhusu ujio wao,kwa hiyo nikawa natazama dirishani,wondering what is the problem,wondering if they have come to arrest me. Zile ni combat tu wamevaa,wale ni Jeshi la Kujenga Taifa. Baadaye nikaona ilikuwa clearly walikuwa wamekuja kufanya usafi.
Hawa wanafika mara kwa mara. The last time they came it was six months ago.
Actually mimi ndio nilikuwa nime-complain kwamba wale gardeners wamekuwa overworked,nadhani ndio baadaye someone had an idea na hawa wanajeshi wakaitwa.
Niliwaona reporters lakini nilidhani ni reporters wa Jeshi,sikujua wametoka ITV.
Ni vizuri wamekwenda nje kufyeka yale machaka,kwa sababu some confused youths,wanataka kufanya mapenzi kwenye machaka,not understanding kwamba wanaweza kuumwa na nyoka,cobras.
Muhimu siyo kuakata majani,muhimu ni kwmba wao wanafika,wanaonyesha fealty na loyalty kwa Mama Maria,that is something that can calm her in this late hour of her life.

Sometimes wanafika wafungwa huku kufanya usafi. Lakini Lulu bado hajafika. By the way,it was very sad concerning that kid,that such a thing should happen,that her life is being wasted. Ingekuwa amri yangu,ningemwachia huru,unajua wasanii ni very important,katika kupatanisha watu,to make people forget their differences. Kwa sababu binadamu hawakuumbwa kupendana,ila wasanii ndio wanatuleta pamoja.

Mbona majibu yenu yanapingana?
Inabidi muwe na msemaji wa familia sasa...
 
Yaani na wewe huoni aibu kaucha machaka nyumbani kwenu mpaka waje wafungwa kufyeka.
Katika jibu lako umetumia asilimia 30 ya maandiko yako kumzungumzia Lulu, yaani inaonyesha umekaa unachungulia dirishani kungoja Lulu aje kwenu kufyeka majani!
Kweli miujiza haina mwisho...

Mkuu,

Labda kuna yard kubwa kiasi familia pekee (na garderners wa nyumbani) hawawezi kuimudu?

Na kuhusu Lulu kumbuka Ganesh ni ordained priest, kwa hiyo labda ni katika maswala ya compassion tu.

Ganesh hata akisema ya ajabu (not that he did) he is our resident war hero, some of us who know his austere and spartan lifestyle would be sure to note that he deserves some slack.
 
Hawa wanajeshi walifika jana asubuhi,at 08;30 hours. Mimi nilikuwa sifahamu kuhusu ujio wao,kwa hiyo nikawa natazama dirishani,wondering what is the problem,wondering if they have come to arrest me. Zile ni combat tu wamevaa,wale ni Jeshi la Kujenga Taifa. Baadaye nikaona ilikuwa clearly walikuwa wamekuja kufanya usafi.
Hawa wanafika mara kwa mara. The last time they came it was six months ago.
Actually mimi ndio nilikuwa nime-complain kwamba wale gardeners wamekuwa overworked,nadhani ndio baadaye someone had an idea na hawa wanajeshi wakaitwa.
Niliwaona reporters lakini nilidhani ni reporters wa Jeshi,sikujua wametoka ITV.
Ni vizuri wamekwenda nje kufyeka yale machaka,kwa sababu some confused youths,wanataka kufanya mapenzi kwenye machaka,not understanding kwamba wanaweza kuumwa na nyoka,cobras.
Muhimu siyo kuakata majani,muhimu ni kwmba wao wanafika,wanaonyesha fealty na loyalty kwa Mama Maria,that is something that can calm her in this late hour of her life.

Sometimes wanafika wafungwa huku kufanya usafi. Lakini Lulu bado hajafika. By the way,it was very sad concerning that kid,that such a thing should happen,that her life is being wasted. Ingekuwa amri yangu,ningemwachia huru,unajua wasanii ni very important,katika kupatanisha watu,to make people forget their differences. Kwa sababu binadamu hawakuumbwa kupendana,ila wasanii ndio wanatuleta pamoja.

Mkuu asante kwa ufafanuzi ila tunataka waajiriwe watu wa kutosha kumsaidia mama yetu mpendwa. Ametufanyia kazi nzuri sana pamoja na mzee wetu wakiishi maisha ya uadilifu na maneno Ufisadi, mabepari, makabaila, wanyonyaji hayakuwepo ila leo hii yapo. Kwa kuenzi utumishi wake uliotukuka nyumba ya mama inatakiwa itunzwe kila wakati na si kwa kusubiri wanajeshi waje after every 6 months.
Kuhusu Lulu hapo red ni kwamba yeye bado ni mahabusu na hajahukumiwa. Na hata kama akihukumiwa inategemeana na aina ya hukumu. Kama atafungwa miaka mingi basi jua kuruhusiwa kutoka kazi za nje si rahisi. Wale wanaoruhusiwa kutoka ni wale ambao wamebakisha siku chache za kifungo maana wanaamini kama umetumikia miaka mitano au na zaidi huwezi kutoroka mwaka mmoja au miezi michache iliyobaki.
 
Mkuu,

Labda kuna yard kubwa kiasi familia pekee (na garderners wa nyumbani) hawawezi kuimudu?

Na kuhusu Lulu kumbuka Ganesh ni ordained priest, kwa hiyo labda ni katika maswala ya compassion tu.

Ganesh hata akisema ya ajabu (not that he did) he is our resident war hero, some of us who know his austere and spartan lifestyle would be sure to note that he deserves some slack.

Sawasawa,
tuko pamoja, hata hivyo jamaa inabidi ajifunze kuongea explicitly bila kutegemea kuwa cut some slack. Siyo kila mtu anajua kuwa anadeserve it...
 
Yaani na wewe huoni aibu kaucha machaka nyumbani kwenu mpaka waje wafungwa kufyeka.
Katika jibu lako umetumia asilimia 30 ya maandiko yako kumzungumzia Lulu, yaani inaonyesha umekaa unachungulia dirishani kungoja Lulu aje kwenu kufyeka majani!
Kweli miujiza haina mwisho...

Mmmh kama Andrew huyu ndo yule huyu nimfahamuye mie kwa Comment hizo wala siwezi shangaa, mchukulie hivyo alivyo bana, nilitegemea angekuja kutoa ufafanuzi wenye mashiko lkn hakuna kitu hapo"
 
Mbona majibu yenu yanapingana?
Inabidi muwe na msemaji wa familia sasa...

Mbona majibu yamefanana hayo?

Kuwa kuna wafanyakazi ambao wanafanya kazi zao ikiwa ni pamoja na kufyeka majani ila wanajeshi wanakuja kuongeza nguvu tu, katika kumuenzi Baba wa Taifa
 
Tuwe na heshima na hisia katika ku-comment kwenye hoja nyingine. Uzito wa huyu Mama kwenye Taifa hili unautambua!!?? Rudi kwenu Malawi huko mkatengeneze Ulanzi. Usije kutafutia watu Ban humu. Chiya Chibi mkubwa kasoro mkia wee.

Mkuu Umekaweza tumb..ff kabisa!

Yaani huyo mama hata kama ana wafanyakazi 6 bado ni muhimu kwa serekali kumwangalia vizuri ili amalizie siku zake hapa duniani vizuri. Huyu mama na Mzee waliishi kijamaa sana ndo maana hata mbweha wengine wanataka kumwona huyu mama wa kawaida tu! Tafadhari tuwe na heshima na adabu, Kama mtu umezaliwa juzi kiasi kwamba hujui umuhimu wa baba wa taifa ni bora ukimye kabisaaaa! Tumb..f kabisa!!

Mods tuheshimiane! Msije kutupiga Ban bure kwa ajili ya wachovu wachache wanaotaka kutupandishia hasira hapa!

Ningepata vijana wa juzi tukakubaliana tukawa tunapangiana zamu za kwenda kumsaidia kazi huyu mama ingekuwa vizuri.
 
Yericko Angalia dogo, akina Ze marcopolo hawachelewi kusema wewe siyo mtoto wa Nyerere ni jina tu limefanana!!!
 
Mkuu,

Labda kuna yard kubwa kiasi familia pekee (na garderners wa nyumbani) hawawezi kuimudu?

Na kuhusu Lulu kumbuka Ganesh ni ordained priest, kwa hiyo labda ni katika maswala ya compassion tu.

Ganesh hata akisema ya ajabu (not that he did) he is our resident war hero, some of us who know his austere and spartan lifestyle would be sure to note that he deserves some slack.

From your comments,it is clear that you know Ganesh well; you might have gone to Mkwawa High School together!!
 
Yericko Angalia dogo, akina Ze marcopolo hawachelewi kusema wewe siyo mtoto wa Nyerere ni jina tu limefanana!!!

Hehee kama Mkapa alisema Vicenti siyo ndugu, watashindwa kusema hao?
Jambo la msingi si kujua undugu au jina tu, ila nikujadili dhana halisi ya taarifa iliyo mbele yetu
 
Mkuu asante kwa ufafanuzi ila tunataka waajiriwe watu wa kutosha kumsaidia mama yetu mpendwa. Ametufanyia kazi nzuri sana pamoja na mzee wetu wakiishi maisha ya uadilifu na maneno Ufisadi, mabepari, makabaila, wanyonyaji hayakuwepo ila leo hii yapo. Kwa kuenzi utumishi wake uliotukuka nyumba ya mama inatakiwa itunzwe kila wakati na si kwa kusubiri wanajeshi waje after every 6 months.
Kuhusu Lulu hapo red ni kwamba yeye bado ni mahabusu na hajahukumiwa. Na hata kama akihukumiwa inategemeana na aina ya hukumu. Kama atafungwa miaka mingi basi jua kuruhusiwa kutoka kazi za nje si rahisi. Wale wanaoruhusiwa kutoka ni wale ambao wamebakisha siku chache za kifungo maana wanaamini kama umetumikia miaka mitano au na zaidi huwezi kutoroka mwaka mmoja au miezi michache iliyobaki.

Basi labda LULU atafika Msasani 2021 kitakapibakia mwaka mmoja. Nilikuwa natazama leo katika gazeti. I noticed yale mauaji yametokea April 7,siku ambayo Karume ameuawa;siku ambayo pia,historically,Yesu Kristu amesulubiwa. Mtu superstitious kama mimi,ningemwachia Lulu huru. Ningefikiria kwamba ile ni act of God.
 
Wee kumbe ni **** kweli, em soma comment yangu vzr. Kumbe huna unalojua unatetea uvivu tu..? Kiwanja cha pemben ndo kipi?? Sio cha mama Maria, kwahiyo ni cha nan?? Unajua kiswahil wee, em tofatisha neno mahusiano na mawasiliano hapo juu?? Mkia wako wee, na ujiandae yale majan yakiota uende ukayafyeke wee!! Usinicheck tena mana nimegundua huna ubongo wa kutosha, tafuta size yako..!!

hahaha! calm down son! calm down JF inawatu wenye akili za kushotokushoto .." Nyerere worshipers " wachukulie easy ! ..


 
Wee inaonekana hujui chochote kuhusu huyu mama, Unafahamu kuwa alishawah kutumwa na wazungu amwekee Nyerere sumu kwenye msos na yee akakubali?? Bahati nzur mzee alishtukia, na toka siku hiyo mahusiano yao ndan ya nyumba hayakuwa mazur..! Uzito gan unampa? Kwa Lipi? Then kumwambia mtu ni mchafu sio kumvunjia heshima, ni kumtaka abadirike. Leo wameenda wanajeshi kufyeka majani nyumban kwake, kesho ataenda nan? wewe? Mwisho; Mi sio Mmalawi ni Mtz, Bora69 ndo nin?? Kichwa chako..!
acha umbeya! hayakuhusu, we una uhakika gani kama mkeo/mumeo hajawahi kukuwekea sumu, jenga nchi yako, tafuta pesa, achana na maisha ya watu waliyowin maisha kabla hujazaliwa! non sense!
 
Back
Top Bottom