Nyumba ya mama Maria Nyerere

Wee inaonekana hujui chochote kuhusu huyu mama, Unafahamu kuwa alishawah kutumwa na wazungu amwekee Nyerere sumu kwenye msos na yee akakubali?? Bahati nzur mzee alishtukia, na toka siku hiyo mahusiano yao ndan ya nyumba hayakuwa mazur..! Uzito gan unampa? Kwa Lipi? Then kumwambia mtu ni mchafu sio kumvunjia heshima, ni kumtaka abadirike. Leo wameenda wanajeshi kufyeka majani nyumban kwake, kesho ataenda nan? wewe? Mwisho; Mi sio Mmalawi ni Mtz, Bora69 ndo nin?? Kichwa chako..!
1.) Hiyo sumu na wewe ulihusika kupeleka? Mimi siwezi kufahamu, kwa kuwa hizi ni zile habari za kwenye vijiwe vya gahawa. Wamalawi bwana!! Eti mawasiliano tokea hapo hayakuwa mazuri! Uliyajuaje ya ndani ya nyumba na wakati wewe kazi yako ilikuwa kukata nyasi nje?

2.) Kama uliangalia taarifa vizuri na ulielewa Kiswahili ile sehemu walikuwa wanafyeka wanajeshi ilikuwa ni kiwanja cha pembeni,na sio kiwanja cha Mama Maria. Afyeke kwa jirani kesho wewe huyu huyu Chiya Chibi mnyasa utuwekee habari humu kwamba Mama Maria atapeli kiwanja cha jirani yake!
Wewe ni mtovu wa Nidhamu huna lolote jipya.
 
Nimetoka kuangalia ITV wameonesha wanajeshi wa Tanzania,wameenda kumtembelea nyumbani kwake na kusaidia katika kazi za nyumbani.

Nimeona nyasi walizokuwa wanafyeka wanajeshi hao,kweli zinatisha. Ina maana Mama huyu hajapewa wafanyakazi wa kusaidia kuweka usafi nyumbani kwa mtu muhimu kama huyu?.

kama kuna mhusika humu ndani na anaweza kusaidia kurekebisha mambo.

Nawasilisha.

Thats what we do best, complaining!
Hapo ungeweza kuipongeza serikali angalau kwa kumpa wanajeshi wakamfyekee, lakini ulichoona wewe ni kulalamika. As if hayo majani wamewekwa na seriklai.
Glass half full or half empty - wewe umeona half empty!

Lets get serious guys, kufyeka majani nayo mpaka serikali??!!!
 
nimetoka kuangalia itv wameonesha wanajeshi wa tanzania,wameenda kumtembelea nyumbani kwake na kusaidia katika kazi za nyumbani.

Nimeona nyasi walizokuwa wanafyeka wanajeshi hao,kweli zinatisha. Ina maana mama huyu hajapewa wafanyakazi wa kusaidia kuweka usafi nyumbani kwa mtu muhimu kama huyu?.

Kama kuna mhusika humu ndani na anaweza kusaidia kurekebisha mambo.

Nawasilisha.

kwani hana watoto.
 
1.) Hiyo sumu na wewe ulihusika kupeleka? Mimi siwezi kufahamu, kwa kuwa hizi ni zile habari za kwenye vijiwe vya gahawa. Wamalawi bwana!! Eti mawasiliano tokea hapo hayakuwa mazuri! Uliyajuaje ya ndani ya nyumba na wakati wewe kazi yako ilikuwa kukata nyasi nje?

2.) Kama uliangalia taarifa vizuri na ulielewa Kiswahili ile sehemu walikuwa wanafyeka wanajeshi ilikuwa ni kiwanja cha pembeni,na sio kiwanja cha Mama Maria. Afyeke kwa jirani kesho wewe huyu huyu Chiya Chibi mnyasa utuwekee habari humu kwamba Mama Maria atapeli kiwanja cha jirani yake!
Wewe ni mtovu wa Nidhamu huna lolote jipya.
Wee kumbe ni **** kweli, em soma comment yangu vzr. Kumbe huna unalojua unatetea uvivu tu..? Kiwanja cha pemben ndo kipi?? Sio cha mama Maria, kwahiyo ni cha nan?? Unajua kiswahil wee, em tofatisha neno mahusiano na mawasiliano hapo juu?? Mkia wako wee, na ujiandae yale majan yakiota uende ukayafyeke wee!! Usinicheck tena mana nimegundua huna ubongo wa kutosha, tafuta size yako..!!
 
Kwanza kukata nyasi nayo ni kazi ya kuita jeshi?
seriously ..?
rafiki, kwani hao wanajeshi waliitwa au walienda kumsalimia ndo wakaamua kumsaidia kazi?
mimi mara nyingi tu huwa naenda kutembelea mama za rafiki zangu au watu wengine wazima, nikifika huko nikakuta vyombo vichafu naosha au nguo chafu nafua.... hiyo nayo tutaiitaje?
 
Wee kumbe ni **** kweli, em soma comment yangu vzr. Kumbe huna unalojua unatetea uvivu tu..? Kiwanja cha pemben ndo kipi?? Sio cha mama Maria, kwahiyo ni cha nan?? Unajua kiswahil wee, em tofatisha neno mahusiano na mawasiliano hapo juu?? Mkia wako wee, na ujiandae yale majan yakiota uende ukayafyeke wee!! Usinicheck tena mana nimegundua huna ubongo wa kutosha, tafuta size yako..!!
Mapovu yanakumwagika mtu mzima Kama kawaida yenu Wanyasa. Povu kibao Kama la sabuni ya Komesha..lakini halisafishi madoa. Pulizaaaaa
 
Nimetoka kuangalia ITV wameonesha wanajeshi wa Tanzania,wameenda kumtembelea nyumbani kwake na kusaidia katika kazi za nyumbani.

Nimeona nyasi walizokuwa wanafyeka wanajeshi hao,kweli zinatisha. Ina maana Mama huyu hajapewa wafanyakazi wa kusaidia kuweka usafi nyumbani kwa mtu muhimu kama huyu?.

kama kuna mhusika humu ndani na anaweza kusaidia kurekebisha mambo.

Nawasilisha.

Japokuwa kweli wamefanya usafi wa mazingira lakini, si wakiwango cha kuhoji kama anawasaidi au laa. Ni usafi wa kawaida na wakijamaa ambao kwa familia yenye mfumo wa kijamaa haustahili kuhojiwa.

Wasaidizi wapo na wanafanya kila kilichowapeleka pale lakini watu kama jeshi linapofika kwa mtu muhimu kama yule, linamatakwa yake yakufanya usafi, kumbuka jeshi linastaili yake ya usafi, kama wewe ulifyekea juu nyasi wao watafyekea chini.

Hivyo sio kweli kwamba kuna uchafu wa kutisha mkuu.
 
ha haaaaaaaaaaaa, umenichekesha sana. kwani wewe baba yako aliwahi kuwa rais/baba wa taifa?


We unanichekesha usiku huu mi nakuwa kama chizi bana.......ndo hapo sasa ndio maana nachukia hii mambo hapa nafyekesha kwangu na kwa wazazi wangu na ndo mshua hakuwa prezdaa.....kama angekuwa ndo hadi kwako my dia ningeweza kusafisha achilia mbali mahospitali ya umma......!!!!!!!!!!

Penye miti.........
 
ila si nasikia kila mwaka wakuu huwa wanaenda kutambika pale kaburini!!! kwani hapo nyumbani kwake huwa hawapiti??
 
Maria Nyerere mama mpendwa kwaheri mama, twakutakia mapumziko mema. Kumbe ndo hayo ya kuishi na kichaka duh mafisadi wamemsahau mama yetu

kwendeni zenu mmezidi,mpaka nyasi zkatwe kwa kodi zetu,mnavyomnyenyekea huyo nyerere ipo cku mtamuabudu
 
Wee inaonekana hujui chochote kuhusu huyu mama, Unafahamu kuwa alishawah kutumwa na wazungu amwekee Nyerere sumu kwenye msos na yee akakubali?? Bahati nzur mzee alishtukia, na toka siku hiyo mahusiano yao ndan ya nyumba hayakuwa mazur..! Uzito gan unampa? Kwa Lipi? Then kumwambia mtu ni mchafu sio kumvunjia heshima, ni kumtaka abadirike. Leo wameenda wanajeshi kufyeka majani nyumban kwake, kesho ataenda nan? wewe? Mwisho; Mi sio Mmalawi ni Mtz, Bora69 ndo nin?? Kichwa chako..!
Anajiita Borat69; Ndiyo maana ulisema hivi hapa chini!! Hii stori siyo mara ya kwanza kusikia mkuu. Hebu dadavua zaidi tupate yaliyojificha mkuu.

Kwa kifupi huyu mama ni mchafu tu, mara nying mazingira ya home kwake huo ovyo ovyo..!! Naamin serikali inampa pesa kila mwez kama ilivyowah kusikika mwanzon, ila kwasababu ya uchafu wake ndo mana tunaona madudu hapo kwake, usafi kama huo hauhitaji pesa.. Tusiilaumu serikali, alaumiwe yee mwenyewe...!!
 
Wee inaonekana hujui chochote kuhusu huyu mama, Unafahamu kuwa alishawah kutumwa na wazungu amwekee Nyerere sumu kwenye msos na yee akakubali?? Bahati nzur mzee alishtukia, na toka siku hiyo mahusiano yao ndan ya nyumba hayakuwa mazur..! Uzito gan unampa? Kwa Lipi? Then kumwambia mtu ni mchafu sio kumvunjia heshima, ni kumtaka abadirike. Leo wameenda wanajeshi kufyeka majani nyumban kwake, kesho ataenda nan? wewe? Mwisho; Mi sio Mmalawi ni Mtz, Bora69 ndo nin?? Kichwa chako..!

Mapovu yanakumwagika mtu mzima Kama kawaida yenu Wanyasa. Povu kibao Kama la sabuni ya Komesha..lakini halisafishi madoa. Pulizaaaaa
Hahahahhaha!! naona mmekamiana!! Ninahamu niwe refa wenu...
 
Ki-mila za Wazanaki ikulu yao ufanyiwa usafi mara moja kwa msimu/mwaka... Majani ni sehemu ya kufugia mizimu ambayo mara nyingi ipo katika sura za majoka, e.t.c. Mwisho wa msimu/mwaka hiyo mizimu huamriwa kurudi mahala pake na kuacha kurandaranda kwa ajili ya kupisha wafanya usafi...!
 
Analipwa pesa za kutosha
wakata nyasi sio lazima watoke serikalini
:A S thumbs_up:

Amezaa na ana watoto as well......sie mama zetu wanakatiwa nyasi na nani?????
:A S thumbs_up:

si bora yeye anaetembelewa na wanajeshi kumsaidia, wake wengine wa wastaafu waliokwisha fariki nani anawakumbuka hata kuwataja?
Au nao hawana haki?
:A S thumbs_up:

mambo mengine yanashangaza sana, na sio wanajeshi pekee, na waandishi juu waje kushuhudia nyasi zinakatwa.
:A S thumbs_up:

Mambo mengine jamani, hivi kweli hata kukata nyasi mpaka jeshi liende? sawa huyu mzee alifanya mambo mengi makubwa lakini sio kila kitu hii serikali ifanye..
:A S thumbs_up:

Kwa kifupi huyu mama ni mchafu tu, mara nying mazingira ya home kwake huo ovyo ovyo..!! Naamin serikali inampa pesa kila mwez kama ilivyowah kusikika mwanzon, ila kwasababu ya uchafu wake ndo mana tunaona madudu hapo kwake, usafi kama huo hauhitaji pesa.. Tusiilaumu serikali, alaumiwe yee mwenyewe...!!
:A S thumbs_up:........:clap2::clap2::clap2:.......:closed_2:
 
Where is Ganesh when you need him?

Hawa wanajeshi walifika jana asubuhi,at 08;30 hours. Mimi nilikuwa sifahamu kuhusu ujio wao,kwa hiyo nikawa natazama dirishani,wondering what is the problem,wondering if they have come to arrest me. Zile ni combat tu wamevaa,wale ni Jeshi la Kujenga Taifa. Baadaye nikaona ilikuwa clearly walikuwa wamekuja kufanya usafi.
Hawa wanafika mara kwa mara. The last time they came it was six months ago.
Actually mimi ndio nilikuwa nime-complain kwamba wale gardeners wamekuwa overworked,nadhani ndio baadaye someone had an idea na hawa wanajeshi wakaitwa.
Niliwaona reporters lakini nilidhani ni reporters wa Jeshi,sikujua wametoka ITV.
Ni vizuri wamekwenda nje kufyeka yale machaka,kwa sababu some confused youths,wanataka kufanya mapenzi kwenye machaka,not understanding kwamba wanaweza kuumwa na nyoka,cobras.
Muhimu siyo kuakata majani,muhimu ni kwmba wao wanafika,wanaonyesha fealty na loyalty kwa Mama Maria,that is something that can calm her in this late hour of her life.

Sometimes wanafika wafungwa huku kufanya usafi. Lakini Lulu bado hajafika. By the way,it was very sad concerning that kid,that such a thing should happen,that her life is being wasted. Ingekuwa amri yangu,ningemwachia huru,unajua wasanii ni very important,katika kupatanisha watu,to make people forget their differences. Kwa sababu binadamu hawakuumbwa kupendana,ila wasanii ndio wanatuleta pamoja.
 
Maria Nyerere mama mpendwa kwaheri mama, twakutakia mapumziko mema. Kumbe ndo hayo ya kuishi na kichaka duh mafisadi wamemsahau mama yetu

Serikali ilitakia iwe inahudumia makazi ya Rais Mstaafu kwa heshima. Nimeshangazwa sana kuona jinsi gani nyumba ile haina uangalizi kabisa hadi jeshi limefika kuisafisha. It is a shame. Yaani kuajiri watu wa usafi permanent kwa Rais mtaafu wa serikali inagharimu kiasi gani. Naomba watu wa usalama na serikali mnaotembelea huku fikisheni ujumbe kuwa ni aibu kwa serikali. Na vyombo vya habari ninaviamini sana naombeni muandike issues kama hizi. Baba wa Taifa alifanya mengi mazuri kwa nchi hii ambayo mafisadi wa SSS wanafaidi huku wakiisahau familia hii. Kama Marehemu baba wa Taifa angeuza madini na mafuta na kila kitu leo hii nyie mafisadi wa SSM mliobaki mgekuwa mnakwapua nini? Hata kampuni za PUMA zisingekuwepo? Aibu sana.
 
Hawa wanajeshi walifika jana asubuhi,at 08;30 hours. Mimi nilikuwa sifahamu kuhusu ujio wao,kwa hiyo nikawa natazama dirishani,wondering what is the problem,wondering if they have come to arrest me. Zile ni combat tu wamevaa,wale ni Jeshi la Kujenga Taifa. Baadaye nikaona ilikuwa clearly walikuwa wamekuja kufanya usafi.
Hawa wanafika mara kwa mara. The last time they came it was six months ago.
Actually mimi ndio nilikuwa nime-complain kwamba wale gardeners wamekuwa overworked,nadhani ndio baadaye someone had an idea na hawa wanajeshi wakaitwa.
Niliwaona reporters lakini nilidhani ni reporters wa Jeshi,sikujua wametoka ITV.
Ni vizuri wamekwenda nje kufyeka yale machaka,kwa sababu some confused youths,wanataka kufanya mapenzi kwenye machaka,not understanding kwamba wanaweza kuumwa na nyoka,cobras.
Muhimu siyo kuakata majani,muhimu ni kwmba wao wanafika,wanaonyesha fealty na loyalty kwa Mama Maria,that is something that can calm her in this late hour of her life.

Sometimes wanafika wafungwa huku kufanya usafi. Lakini Lulu bado hajafika. By the way,it was very sad concerning that kid,that such a thing should happen,that her life is being wasted. Ingekuwa amri yangu,ningemwachia huru,unajua wasanii ni very important,katika kupatanisha watu,to make people forget their differences. Kwa sababu binadamu hawakuumbwa kupendana,ila wasanii ndio wanatuleta pamoja.

Yaani na wewe huoni aibu kaucha machaka nyumbani kwenu mpaka waje wafungwa kufyeka.
Katika jibu lako umetumia asilimia 30 ya maandiko yako kumzungumzia Lulu, yaani inaonyesha umekaa unachungulia dirishani kungoja Lulu aje kwenu kufyeka majani!
Kweli miujiza haina mwisho...
 
Back
Top Bottom