Vp ladha za nyumba ndogo unazionaje??
Hhahahaaha lazima tu ladha izidi...nyumba ndogo wanatumia nguvu nyingi kuiba waume zetu thats why mwisho wa siku wanaune wanajuta....
Vp ladha za nyumba ndogo unazionaje??
ko sa hivi we ndoa yako iko okay.........
wanaume wengine hawaridhiki unaweza kumfanyia yote hayo na nje akatoka tu
Na mwanamke pia unaweza mpa kila kitu kilichopo hapa duniani na ukamgegeda atakavyo mwisho wa siku anatoka nje ya ndoa
Kuna wanawake wanajua kujali. Ila wanaume nasi tuna kiburi na tamaa. Mwanaume ukisimama vizuri nafasi yako toka mwanzo (wakati wa uchumba/urafiki) kina mama wengi ni wapole/waelewa.
Ratio kulingana na tafiti ni kuwa kila watu binadamu kumi sita ni wanawake na wanne ni wanaume. Sasa tusaidiane jee hawa wanawake wawili watapata mambo toka wapi? Ni swali tu jamani.
Uzi wako japo unatia matumaini umeniacha na maswali....
Ni nini kimemfanya mkeo abadilike?
Wewe kuachana na nyumba ndogo au?
Isije ikawa hakuwa na shida yeyote ila ulikuwa unalazimisha ili ku justfy cheating...
Yani mtu anabadili tabia tu ghafla?
Hhahahaaha lazima tu ladha izidi...nyumba ndogo wanatumia nguvu nyingi kuiba waume zetu thats why mwisho wa siku wanaune wanajuta....
Amen.asante
to God b the glory hakuna kinachoshindikana
like 800