BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
mchape kibao kimoja kikali uone kama hajaitoa mwenyewe funguo
Hilo dongo live bila chenga . Umeliona eeeehha haaaa, hili siyo dongo mtu mzima mwenzangu?
nani sasa hana kutimiza wajibu?
unanichokoza........ haya msalimu bibi
si ulishaenda kulala lakini?Wewe hakuna kitu kabisa...hebu hangaika na kazi za nyumbani (homework)..
Labda usubiri fungate part II kama teacher gfsonwin.....lol!!
Ushauri wangu...kumbuka kuwa aorta inatakiwa kubaki salama...
Babu DC!!
Umeona eeh ni kweli atakua kasha pita kila kona usiku huu lolsi ajabu wife ameshapita vituo vyote vya polisi kwa wasiwasi Mr hajarudi nyumbani!!!
ha haaaa, ndo maana nimemtimua akalale.......Hilo dongo live bila chenga . Umeliona eeeeh
mchape kibao kimoja kikali uone kama hajaitoa mwenyewe funguo
ha haaaa, ndo maana nimemtimua akalale.......
babu babu.... unadhani wamama wa siku hizi kama sisi wa zamani tunaambiwa mumeo yupo mlango wa tatu tunamsubiri na maji ya kuoga ya moto? siku hizi hawa hawana nini wala nini....... huyo mtu utakuta kajitundika mwenyewe au kashikiwa fo=imbo ajitundike kwa hiyari yake.......
ha haaaa, kwani kazi za nyumbani siyo majukumu?Duuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh,
Haya bwana...kwa herini....
Ngoja niwapishe wasiokuwa na majukumu...lol!!
Babu DC!!
ha haaa, hii kiboko, lol! na kwa hakika hatarudia tena huo upuuziAkirudi unachapa vibao, asubuhi hawezi kuwahadithia watu 'jana wife alinichapa vibao'.
Wewe hakuna kitu kabisa...hebu hangaika na kazi za nyumbani (homework)..
Labda usubiri fungate part II kama teacher gfsonwin.....lol!!
Ushauri wangu...kumbuka kuwa aorta inatakiwa kubaki salama...
Babu DC!!
nikupe tips mdogo wangu......
ukienda nyumba ndogo hakikisha huendi na FUNGUO ZA OFISINI, na ukiweza nenda na nguo za ziada (uzifiche). na kama hutajali basi nenda na taxi.
hawakawii kuloweka nguo ili usiondoke
mdanganye mwambie mbadili kiwanja atatoa funguo halafu utajuwa cha kufanya usionyeshe mapepe ya kutaka kurudi home mwambie leo tunakuwa wote mpk asubuhi akitoa tu funguo unamubadilikia
nikupe tips mdogo wangu......
ukienda nyumba ndogo hakikisha huendi na FUNGUO ZA OFISINI, na ukiweza nenda na nguo za ziada (uzifiche). na kama hutajali basi nenda na taxi.
hawakawii kuloweka nguo ili usiondoke
nenda pale polisi oysterbay au kituo chochote cha polisi kilichokaribu
umpe polis sh 50 alfu mwambie akuweke ndani kisha ampigie simu mkeo
amwambie umekamatwa kwa kosa la kugonga mtu na mkeo akudhamini
leo lala small house kesho asbh ndio mkeo aje kukuwekewa dhamana
na supu akupikie pia,,,,,
ukiwa na small house lazima ujue mbinu za kuishi mjini..
Babu nilishakwambia kwasasa usiniite.
nina vipind vifupi sana vya mapumziko.
ha haaaa, kwani kazi za nyumbani siyo majukumu?