Maswa Yetu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 1,399
- 2,617
- Thread starter
- #21
Nyumba ni namba mojaShida ya watu wanalinganisha nyumba na gari,
Unaweza kuwa na gari, huku unaendelea kutafuta hela za kujenga nyumba,
Gari kununua za kawaida hizi toka japan ni 15-25M wakati huo nyumba ili iitwe nyumba ni 45+M hapo weka na kiwanja cha 10M unafika 55M+, mtu hana hio hela kwa mara moja mnataka afanyaje? Wakati anaweza lipa 15M kisha akaanza ujenzi taratibu, pia kingine wengi wananunua second hand cars za 5-12M tu
Vyote vina umuhimu na binadamu unatakiwa uwe navyo vyote