King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,587
Kwahiyo sasa slogan itabadilika na kuwa Miaka 700 na sio miaka 100.
Irani Kuna m Waajemi siyo WaarabuView attachment 1802838
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi.
Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
Wairan si Waarabu.View attachment 1802838
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi.
Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
Irani siyo waarabu ni waajemiView attachment 1802838
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi.
Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
Kwa tafasiri yako nyumba hii ilijengwa mwaka 1730.View attachment 1802838
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi.
Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
Huo ukuta unafaa upigwe rangi nyeupe itasaidia kupunguza jotoMiamba inachelewa sana kupoa aisee. Itabidi machweo kama ni saa 12 mlale saa sita usiku kuepuka joto.
Kuna rafiki yangu aliwahi kuja kulala ghetto kwangu kwa vile chumba alichopanga mwezi huo jua lilikuwa linapiga ukutani kwake mchana mzima. Usiku anawasha feni lakini waapi akakimbia