Tuendelee Steve
Inshallah tupo tunangojea
Kiongozi wasamehe tu ukiona hivyo ujue imewabamba wamekuwa kama mateja wakiikosa wanaumia sana.
Wavumilivu tupo ukipata nafasi tupia
Msione kimya ndugu, nipo safarini. Nilitaraji kufika mapema ila haikuwa vivyo. Punde tu nitakapokuwa na uwezo wa kutuma ntatuma tena mpaka MWISHO wake.Naludia mkuu wa tz wengi wavivu na hatuna shukrani,msamehe tu
Mollel kitabu kipo wapi the president and iMsione kimya ndugu, nipo safarini. Nilitaraji kufika mapema ila haikuwa vivyo. Punde tu nitakapokuwa na uwezo wa kutuma ntatuma tena mpaka MWISHO wake.
Tupo pamojaMsione kimya ndugu, nipo safarini. Nilitaraji kufika mapema ila haikuwa vivyo. Punde tu nitakapokuwa na uwezo wa kutuma ntatuma tena mpaka MWISHO wake.
Usijali kiongozi tupo pamojaMsione kimya ndugu, nipo safarini. Nilitaraji kufika mapema ila haikuwa vivyo. Punde tu nitakapokuwa na uwezo wa kutuma ntatuma tena mpaka MWISHO wake.
Nashukuru kwa uvumilivu wenu.
Mkuu imeisha?Nashukuru kwa uvumilivu wenu.
Asante sana mkuu kwa riwaya Kali kabisaNashukuru kwa uvumilivu wenu.