bantu.garage
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 1,436
- 503
Earth moving machines na Wakandarasi na malipo.
Hili swala mbona linapasua vichwa watu sana na kwanini kila kukicha watu wanalirudia kama si kutafuta kick? sijaona mahali popote duniani ambapo wabunge wa upinzani wanapigania agenda moja tu ya kurusha matangazo ya bunge live kama Tanzania. Maana hivi sasa hapa UK bunge lipo linaendelea na majadiliano na zaidi hayo sioni station yoyote inayoonyesha live hicho kikao chao cha budget zaidi ya siku moja katika wiki wakati kuna kipindi cha maswali na amjibu ya waziri Mkuu na hiyo ilikua jana baada ya kumalizika kila station iliurudi katika matangazo yao ya kawaida. lakini kina Msigwa wanataka kutuaminisha kuwa watatutalia matatizo yetu kwa kuonekana live wakitukanana kama tulivyoshuhudia katika vikao vilivyopita.angalieni
hii ndiyo mnataka? angalia tofauti na hapo
Sasa inakuaje mseme wabunge wa ccm wanalala bungeni?unajua utaratibu wa kuchangia bungeni unakuwaje? acha ujinga wewe!
Mbunge gani aliyepigwa chini kutokana na huo uoneshaji bunge live?NDIYO tunataka hivyo kwa kuwa wanatuwakilisha sisi na tuliwachagua sisi...tunataka tuone ni mbunge gani anayetukana badala ya kuchangia hoja ili bunge lijalo tumpige chini. sasa kama unamficha tusimuone huyo mtukanaji si tutakuwa tunamrejesha bungeni kila mara? na je, wale wanaolala bungeni badala ya kutuwakilisha vema tutawajuaje ili tuwapige chini uchaguzi ujao? huu ndio umuhimu hasa wa kuonyesha bunge laivi ili kuwawezesha wananchi kuwajua vizuri wawakilishi wao na kisha kuwachukulia hatua wakati wa uchaguzi. umeona eeh?
ushahidi upo na picha zinazoonyesha wanalala bungeni zipo. ina maana wewe hujawahi kuwaona mkuu?Sasa inakuaje mseme wabunge wa ccm wanalala bungeni?
Mawaziri wa4 wamepigwa chini,mfano wassira.Kule kulala bungeni ndio kumemshusha.Lete pia mfano wa waliofanya mambo ya hovyo na matukio tuweke kumbukumbu sawaMbunge gani aliyepigwa chini kutokana na huo uoneshaji bunge live?
Bunge lililopita tumeona wabunge waliyofanya mambo ya hovyo huko bungeni na bado wamerudi tena bungeni safari hii.
wananchi ndio waamuzi, kama ukiona hivyo basi ujuwe wananchi wanaowakilishwa na hao wabunge hawajaona kama 'HAYO MAMBO YA OVYO' unayosema WEWE yanamzuia mbunge wao kuwatumikia. hivyo basi, nakubaliana nawe bunge lionyeshwe laivu....tuachane na wale wapuuzi wanaodai kwamba wananchi wasiowaone wawakilishi wao wanavyowawakilisha.Mbunge gani aliyepigwa chini kutokana na huo uoneshaji bunge live?
Bunge lililopita tumeona wabunge waliyofanya mambo ya hovyo huko bungeni na bado wamerudi tena bungeni safari hii.
Wabunge wanatafuta umaarufu pale bungeni na ndiyo maana vinatokea vituko,na kibaya ongezeko kubwa la watizamaji bunge ni kutaka kuona hivyo vituko.Ina maana usipoonesha live ndio matusi yataisha?Bunge ina kamati ya maadili,huko ndiko wabunge wanapochukuliwa hatua.Eti kisa mbunge fulani katukana ndio uwanyime wananchi haki ya kuangalia bunge!pathetic
ila wewe binti akili zako ni zile zile za miaka iliyopita za waleakina ...........sasas ni nchi ya Magufuli zinduka upesiWaambieni wabunge wenu wasusie bunge.
Yani nchi iingie kwenye mtikisiko kisa bunge kutooneshwa live?ama kweli waafrika tuna matatizo.Huu upuuzi waliofanya ccm utakuja kuliingiza taifa kwenye mtikisiko mkubwa au mgogoro mkubwa wa kiuchumi
Wabunge wanatafuta umaarufu pale bungeni na ndiyo maana vinatokea vituko,na kibaya ongezeko kubwa la watizamaji bunge ni kutaka kuona hivyo vituko.
Ni sawa kwani nchi yetu ni ya vitukoWabunge wanatafuta umaarufu pale bungeni na ndiyo maana vinatokea vituko,na kibaya ongezeko kubwa la watizamaji bunge ni kutaka kuona hivyo vituko.
Ningeona la maana sana kama kusingekuwa na mabishano ya jambo hili kabisa.niupumbavu wana CCM kushabikia bunge kuto onyeshwa live.
Hilo la kuogopa ndiyo tukuulize wewe huo uoga.Sikieni nyinyi watawala wenye nchi tunataka bunge liende live.. Mnachoogopa ni nini..
Ngoja awe m/kiti wa chama ndiyo watajua jpm ni naniSIFIKIRI KAMA HILI LA KIZUIA BUNGE NI AJENDA YA RAIS WETU MPENDWA NAKATAA KWA 100%,KWA VYOVYOTE HILI NI AGIZO LA CHAMA KIPENDACHO USIRI NA FARAGHA