Kwani hata wewe pia ni Shupavu, kumsifia mpumbavu kwa upumbavu wake unastahiki kuitwa shupavu. Haya nenda kachukue posho yako.
Mzalendo ur right,
Roho mbaya ikimwingia binadamu haimwachi mpaka adhurike. Wapewa mamlaka ya kuongoza nchi na vyombo vyote vya usalama lakini bado wanalalamika kwa nini wasiwe IMPOTENT. Polisi wanayo et el kwa nini wanashindwa kuprove issues kama Ulimboka, Kibanda badala yake wamekuwa waganga kienyeji kupiga ramli tu. Shame on us Tanzanian tumepoteza heshima kabisa kimataifa hakuna nchi itatupokea kwa ujinga huu. We better know our enemy today list them all.