stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Mh.Mwigulu naona upo kwenye Account yako nyingine unajisifia...
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.
Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
Mwiguli ni gumzo mtaani. Chadema mchukie msichukie jamaa anawaogopesha
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.
Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
Mwigulu wachape fimbo za mgongo hao
Mh. Mwigulu ndiye dawa ya CHADEMA. Kazi anayoifanya output yake inaonekana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mh.Mwigulu naona upo kwenye Account yako nyingine unajisifia...
kiswahili kibovu kama uliishia la saba na matusi huku ukitoa mchango wako kama gazeti la udaku.:A S thumbs_down:uyu ni kuadi tu wa balali bot bank of tanzania inasemekana alilawitiwa na balali nashangaa bunge letu wamelusu mashogo bungeni na iramba kumchagua shoga
Mwigulu wachape fimbo za mgongo hao
" Shetani ni Maarufu sana Duniani " haya maneno ndiyo hasa yanamfaa katika wasifu wa Mwigulu na sii vinginevyo.Kijijini kwetu kuna kichaa kila mtu anamfahamu ni maarufu sana. Mwigulu ni kweli anajulikana sana . Kunasababu nyingi za kujulikana. Mzizi, muuaji, mwongo, mfitini, mchumia tumbo na kissing ........lazima wajulikane.
Maneno na matendo yake lazima yawafanye wengi wahamaki. Shetani ni maarufu sana duniani.