Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA


Akili zako ni sawa na bomba la maji machafu yanayotoka chooni, mfano wa bomba la kutoka Muhimbili Hospital.

Unatia aibu kuonyesha upumbavu wako hadharani. Unafikiri matusi au kejeli zake zinasaidia ujenzi wa taifa bora la watu wenye elimu, afya, kipato na ushindani bora?

Inaniwia vigumu sana kusadiki kiasi kikubwa cha umbumbu na uhanisi wa fikra na imani yako juu ya maneno na/ au kejeli azitoazo Mwigulu Nchemba dhidi ya wana wa nchi wenzako.

Ushauri wangu ni kuwa ni heri ya kutafakari njia za kuweka na kurejesha misingi bora ya taifa letu, badala ya kuleta mawazo finyu na hanisi kwa maslahi ya watu wachache.

INAKERA KUONA UPUMBAVU UNATAMALAKI BADALA YA UKWELI NA MAENDELEO.
 
Kati ya vijana ambao wangetumia hekima wangefika mbali kisiasa ni Mwigulu ila kwa sasa amejimaliza. Ni ngumu kumpa mtu asiye na staa madaraka makubwa ya nchi hii. Sijawahi kuona au kusikia akizungumzia hoja ya kuijenga nchi hii zaidi ya mipasho. Labda kwa sababu kuwa kwenye siasa kwake ni sehemu kuu ya ajira yake. Slaa, Zito, Mnyika, Msigwa na at times Makamba junior wamependwa na Watanzania walio wengi kwa kujenga hoja zenye tija kwa taifa, si huu upuuzi wa kupika wa Mwigulu. Bunge linakosa mwelekeo kwa kuwa na wabunge wasioona mbali kama huyu bwana. Mie si mwanachama wa chama chochote ila yanayotokea bungeni kwa sasa yanasikitisha na ni mwelekeo mbaya kwa taifa. Labda tuwe pia na wabunge huru wasiokuwa na chama in future.
 
mleta mada na mwigulu
wote ni mashoga, fuk..u, ndo ilichoona hiyo ndo point kwa macccm, we
huoni watanzania wanavyoteseka shenzi tp

Mwigulu mwacheni ajitape tu 2015 sio mbali sana wanairamba dawa yake tunayo.
 
we MTOA MADA LENGO LA DEMOKRASIA NI NINI?. MAANA WAZUNGUMZA JUU YA KUUA CDM? TWAMBIENI CDM WAPI WAMEPOTOKA AMBAPO HATA MAWAZO YAO NI BATILI. ANYWAY UKIFIKIRIA JUU YA MJUKUU WAKO UTAJUA UJENGE NCHI YA NAMNA GANI LAKINI UKIJIFKIRIA WEWE NA WAPENZI WAKO BASI WAKATI WA KULA NI HUU.
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA

kuwa mwendawazimu sio lazima uokote makopo hata kwa kumsifia kichaa anapotenda mambo yake kwa kutukana,kutemea watu mate na hata kuwaponda watu mawe,mwiguru anatoa fedha kwa vijana wanamkubaria kufanya ujambazi ili kuihujum cdm wakati jimboni kwake kuna wanafunzi wanakaa chini kwa kukoswa madawati?
 
Labda kama hilo bunge unaangalia peke yako... Kwa kazi gani aliyofanya? Kwa hoja zipi alizotoa bungeni? Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali, tumuandilie mapokezi kwa kuiponda CDM? Huo utakua ni upuuzi wa mwaka.

kaka mark You have spoken sense
 
Labda kama hilo bunge unaangalia peke yako... Kwa kazi gani aliyofanya? Kwa hoja zipi alizotoa bungeni? Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali, tumuandilie mapokezi kwa kuiponda CDM? Huo utakua ni upuuzi wa mwaka.

Upuuzi upumbavu kama huyo mpuuz mwenzio
 
Hoja zake ziligeuka mwiba kwa CHADEMA? Umri wako unalingana na uwezo wako wa kupambanua mambo?poleeee samaki
 
Kunya barabarani mtu mzima kama hutaandikwa kwenye media!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA

Naunga mkono hoja mwigulu anawachachafya chadomo hadi wanapaniki Huku mtaani akiomba kuchangia watu wanakimbia kwenye tv hahahahahahah chadomo hoi
 
ndugu yangu kwanza amekupa vicenti vingapi Nchemba?Kwa ninavyomfahamu na kumfuatilia Mwigulu,ni kichaa mmoja hivi anayeropokaropoka tu hovyo.na wewe naona umejiunga na kichaa mwenzako.siku zake zinahesabika madarakani.
 
Kikao cha Bunge la Bajeti
kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge
maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika
vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye
na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari
kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu
amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa
kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya
BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM!
Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi
makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka
mwiba kwa CHADEMA

no research no right to speak, try to utilise effeciently your education!
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA


Unaumwa Mwigul
 
Acha kutudhalilisha watu wa singida wewe, nani apokee hiyo pumba, labda umkaribishe wewe pumba mwenzako.
 
Back
Top Bottom