kuishabikia CM ni aibu kubwa kuliko ya kutembea uchi. Kwa taarifa yako Mwingulu ni miongoni mwa watu wanoichimbia kaburi CCM. Na kwa kuwa Kifo cha CCM ni mpango wa Mungu ndio maana hata wenye akili wachache huko CCM hawalioni hili. Wangekua wanaliona ungekuta wameshamvua uanachama.
Wafuatao ndio wanaiua CCM
1.Nape
2.Mwingulu
3.wassira
4.Lukuvi
5.Makinda
6.Ndugai
7.TISS
8.Ikulu
9.CHADEMA
10.Foleni ya DSM
11.Ugumu wa maisha nchi nzima
12.Ubovu wa Elimu
N.K
Wafuatao ndio wanaiua CCM
1.Nape
2.Mwingulu
3.wassira
4.Lukuvi
5.Makinda
6.Ndugai
7.TISS
8.Ikulu
9.CHADEMA
10.Foleni ya DSM
11.Ugumu wa maisha nchi nzima
12.Ubovu wa Elimu
N.K