Shonja na Mwampamba wameshakwisha muda wao.????
Muda wao utaisha siku watakayoingia kaburini, long as bado wanaishi, mtawaona sana na watazidi kuwaanika madudu yenu hadi wawatoe wadhalimu wote kutoka huko mafichoni (CHADEMA) mlipojifichia.
Tulichohisi ni kwamba tulitumia bunduki (Shonza na Mwampamba) kuua mbu (CHADEMA). Kwa sasa pambaneni na Mh. Mwigulu kwanza.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums