Nyoni, Mtasiwa, Mponda, Nkya Must go!

Madaktari mnapenda sana kujiona kuwa nyie ni Daraja la juu kumbe sio hivyo kabisa tambueni serikali ya Tanzania inawatumishi wakada nyingi na kila kada ni muhimu hata kama ni ya Dereva na Mhudumu wa ofic. Kama mnataka masilahi ya haraka rudini shule mkasome coz nyingine kama BCOM,MBA HRM Procurement kuliko kutukera na kelele zenu kila kukicha

Sio kwamba wanapenda kujiona, fact ni kwamba madaktari wako daraja la juu. Ni sisi tu watanzania tuna think otherwise. Huwezi ku compare professional ya daktari na professionals nyingine unazozitaja..either huelewi unachokisema au you are out of touch. Hii ni ya udaktari ni vital. Kazi yao ni kuokoa maisha, na YES they should be compensated more. Mshahara wanaodai wa millioni 3.5 kwa mwezi bado ni mdogo sana. Uliza madaktari wa Kenya wanalipwa kiasi gani. Hapa U.S. daktari wa kawaida (Family Medicine) analipwa on average $200,000 kwa mwaka...So I support the MD's on this one.
 
Uppuzi mtupu hakuna wakujiuzulu labda nyie madaktari muache kazi kwanza hakunaaliyewalizimisha kusoma udaktari ni usongo wenu tu wakusoma PCB sasa unawa cost huku tuliopiga coz za kijanja sasa tunakula bata tu katika serikali ya kifisadi
Akili yako imetimia kweli?
 
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili

naunga mkono hoja
 
Sina mpango wa kusema kwamba madakatari wana haki kugoma ama la ila nataka tu kusema kwamba hata kama ningeambiwa niwe Dr nilipwe mamilioni sitaki kamwe. Kazi yao ni ngumu sana, kuona damu kila siku? Watu wanalia na kugugumia maumivu all the time? Mtasema wamependa wenyewe, mbona sio wote tumependa au kuchagua kuwa ma Dr? Ile kazi siipendi!

Siku moja nilikutana na aunt yangu ni Dr anatoka kazini. Nikapishana naye ila nikastuka sana alivyokuwa ananukia ki design fulani, siyo sanaaa ila unasikia...akasema usinishangae, nimetoka kwenye operation - mama mmoja alikuwa na uvimbe tumboni nimetoa usaha kama lita moja. Nilisikia kutapika! Akitoka hapo anaenda kupiga ugali wake.

Kamwe siupendi udaktari. Kamwe!
 
Kutokana na taarifa yake ya jana kuwa ametatua matatizo mengi ya madktari na ukiangalia bado madktari wana matatizo lukuki,pili alikataa kuwasikiliza.
Nyoni,mtasiwa,mponda,nkya must go

Halafu waje nani badala yao? Unless maana yako ni wawajibike kisiasa, vinginevyo hata aje nani wizara ile, tatizo lile ni la kimfumo, haliwezi kupata utatuzi kwa kuweka watu wengine, ndio maana wakati wa Dr. Chiduo, Professor Sarungi, Zhakia Meghji, Dr. Mwinyi, matatizo yalikuwa ni haya haya tu, tofauti ikiwa labda nyakati nyingine madaktari walikuwa na uvumilivu zaidi kuliko sasa.
 
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili

This says a lot about you and your character....Unaonekana ni MVIVU!
 
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili

Hivi mkuu ni nini maana ya division of labour? Unaibuka tu nakuamua kutuwekea thread za kipuuzi jamvini ili iweje? Kila mmoja analalamika kulingana position aliyopo. Sasa wewe kama mshahara unakutosha kwa fani uliyoko piga kimya. Wewe unajiona mjanja kwa kuchukua art siyo? Wenzako wanaweza soma masters degree na kukufuata ulipo, je wewe waweza do vice versa? Think big before daring to post this kind of nonsense.
 
your choice to be a doctor was a self inflicted stupidity you realy stepped on it big time.sorry i cant help you I.D.I.O.T
Painful eeh, i do not talk to people of your type, am not of your level either. Idiot its you and your generation. Nothing upstairs.
 
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili
Hivi wewe umekuja hapa kufanya nini?????? Kukatisha watu tamaa au una bifu na madaktari, mfanyakazi wa Blandina Nyoni NINI????? Hujui umuhimu wa daktari sio , mtoto wako akishikwa na malaria unampeleka wapi kwa sangoma nini???? Wewe taahira kweli, bila madaktari wewe utaishi salama pamoja na mmeo/mkeo, mama yako, baba yako, mtoto wako, kaa ufikiri kwanza wacha kuropoka ovyo!!!!!!!Hawa madaktari wanahitaji kutiwa moyo maana wao si wana siasa bali ni watendaji, huwezi kulinganisha daktari na kada nyingine labda wewe umefilisika akili!!!!!

 
Back
Top Bottom