SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
Mange Mikutano.jpg
 
Tunachokijua
Mange Kimambi amejitanabaisha kama mwanaharakati wa masuala mbalimbali hususan ya kisiasa. Amekuwa akizungumzia mambo mengi ya kisiasa yanayoendelea nchini Tanzania.

Madai

Hivi karibuni kumeibuka ujumbe ama chapisho linaloonekana kuchapishwa katika ukurasa wa mtandao wa X wenye utambulisho wa Mange Kimambi, Tazama hapa. Chapisho hilo linaandika;

Kiukweli Watanzanua mnakera, mnajaza comments hapa na bado mnajaza mikutano ya CCM. Hapa ni Mbeya leo (Inafutwa).

Je, ni kweli chapisho hilo limeandikwa na Mange Kimambi?

Ufuatiliaji wa kina uliofanywa na JamiiCheck umejiridhisha kuwa chapisho hilo si la kweli.

Utafutaji kwa kutumia maneno muhimu yaani Keyword Search, JamiiCheck imejiridhisha kuwa hakuna ujumbe wowote katika ukurasa wa X wenye utambulisho unaonekana kwenye chapisho hilo ambao umechapishwa, hivyo basi chapisho hilo ni la kughushi.

Chapisho hilo linalosambazwa ni la kughushi kwani linakosa baadhi ya vitu muhimu ambavyo vinaonekana katika ukurasa wa X. Mathalani rejelea sehemu ya chini ambayo inaonesha muda na tarehe, inakosekana sehemu inayoonesha views (waliotazama), rejelea pia mpangilio wa tarehe.

Aidha ufuatiliaji kwa njia ya mtandao umebaini kuwa hadi wakati taarifa hii inaandikwa Septemba 05, 2025 ukurasa huo ulichapisha taarifa kwa mara mwisho Juni 16, 2025 na ku repost kwa mara ya mwisho Agosti 10, 2025 ambayo ndiyo taarifa ya mwisho inayoonekana ukiondoa 'Pinned post'. Lakini pia taarifa hiyo haipo katika ukurasa wake wa X ambao ndiyo amekuwa akiutumia mara kwa mara.
Mkuu Steven,

Watu wengi Tanzania hawaelewi mambo, hawafuatilii na ni wepesi kurukia kila hoja..

Issue ya Bandari - Mkapa aliwapa TICTS kamouni tanzu ya Hutchson ya western kwa miaka 20. Mkataba uliposiha walitaka wapewe tena Serikali ikapiga chini...

Hapo ndio changamoto ilikuja - walitaka hata kama asipopewa basi apewe Maersk (western mwingine) - Serikali ikaipa DP world (Mwarabu) - vita kubwa ikaibuka....

Bishara nyingi za watu zilipigwa mkasi - walihonga sana wale jamaa kuchafua ile move - lakini Serikali ishaamua (kulikuwa na madudu kibao) siyo kwamba yataisha soon lakini serikali iliona ni muhimu sana kubadili mwekezaji... sasa wananchi ni fuata upepo - mara kabisa limetoa waraka nk nk (kwani Tanzania ndio nchi ya kwanza kuweka mwekezaji kwenye bandari??) nchi karibia zote duniani zenye bandari zinafanya hivyo - zinaacha private sector ifanye.
TICTS alileta akili za kifisadi, wanasheria wetu wakapitia mkataba wakagundua udhaifu ikabidi wampige chini mwaka 2019. Kuanzia kipindi kile mpaka mwaka 2023 tukaweza kuingia mkataba na DP World.

Fitina nyingi mahali penye riziki, pia viongozi wa serikali walikuwa sehemu ya wapigaji wa pale TPA wakaleta ugumu mwingi wa kumuachia mwekezaji awekeze.

Samia ni chuma kweli kweli, akaendelea na msimamo ule ule licha ya mbinu chafu za wapigaji ambao walidiriki kuwatumia mpaka viongozi wa dini makanisani katika kupinga kitu wasichokijua vyema.
 
Haya mambo ya kuangalia / kupima so called nyomi badala ya what is on the table au kinachoongelewa kama kinaendana na Itikadi yako nadhani ni Herd Mentality..., ndio maana nilishasema hivi Siasa / Vyama vimekuwa kama Simba na Yanga au platform za Ulaji na sio utofauti wa fikra za uongozi

Binafsi hata kama nitakuwa peke yangu nasikiliza na ninachosikiliza kina mashiko taona anayekielezea ana tija kwangu kuliko tukiwa wengi tunaambukizana communicable diseases na kusikiliza upupu
 
TICTS alileta akili za kifisadi, wanasheria wetu wakapitia mkataba wakagundua udhaifu ikabidi wampige chini mwaka 2019. Kuanzia kipindi kile mpaka mwaka 2023 tukaweza kuingia mkataba na DP World.

Fitina nyingi mahali penye riziki, pia viongozi wa serikali walikuwa sehemu ya wapigaji wa pale TPA wakaleta ugumu mwingi wa kumuachia mwekezaji awekeze.

Samia ni chuma kweli kweli, akaendelea na msimamo ule ule licha ya mbinu chafu za wapigaji ambao walidiriki kuwatumia mpaka viongozi wa dini makanisani katika kupinga kitu wasichokijua vyema.
Sahihi kabisa;

Na watu wengi wasichojua serikali haifanyi kazi kama risasi - inaprocess nyingi; procedure hii ilikuwa ya muda mrefu kidogo.. na kwa namna yeyote TICTS alilea in efficieny kibao ... sasa alivyokuwa akitolewa likatengenezwa zengwe kuwa tunauza bandari lakini kimsingi hoja ingekuwa tunakodisha baadhi ya berth...

Kanisa nalo lilikneka lilikuwa na stake fulani fulani(hii ni hoja ngumu sana) - waraka wa ajabu kweli ukatoka...Rais akalaumiwa sana na kuwekewa uarabu uarabu as if DP ni kampuninya kinyone wakati ina run hadi baadhi ya orys Marekani...

Klikuwa vita ya waarabu na wazungu - ila Tanzania ilishinda. Sema tu SSH huwa hajitapi hadharani kama JPM.. ila hili alitakiwa ashambulie sana (kama angekuwa JPM 1 hihiiiiiii) -
 
Sahihi kabisa;

Na watu wengi wasichojua serikali haifanyi kazi kama risasi - inaprocess nyingi; procedure hii ilikuwa ya muda mrefu kidogo.. na kwa namna yeyote TICTS alilea in efficieny kibao ... sasa alivyokuwa akitolewa likatengenezwa zengwe kuwa tunauza bandari lakini kimsingi hoja ingekuwa tunakodisha baadhi ya berth...

Kanisa nalo lilikneka lilikuwa na stake fulani fulani(hii ni hoja ngumu sana) - waraka wa ajabu kweli ukatoka...Rais akalaumiwa sana na kuwekewa uarabu uarabu as if DP ni kampuninya kinyone wakati ina run hadi baadhi ya orys Marekani...

Klikuwa vita ya waarabu na wazungu - ila Tanzania ilishinda. Sema tu SSH huwa hajitapi hadharani kama JPM.. ila hili alitakiwa ashambulie sana (kama angekuwa JPM 1 hihiiiiiii) -
Samia hawezi kuliwekea visasi kanisa katoliki, Serikali inalihitaji kanisa na kanisa linaihitaji serikali.
 
Ubaya uko hapa:

"Tangia 2021 kavuta miguu kuhusu mabadiliko kwa hila ili kwa namna yoyote awe kitini hadi angalau 2030."

Yaangalie maneno yaliyopigiwa mstari kama mwenye akili timamu.

Tatizo huoni wewe?
Acha ujinga brazaj !!! Nani kati yetu angeingia Machi 2021 na kuanza kutengeneza Katiba Mpya? Usijizime data
 
Kwa miaka ya sasa ingekuwa ni TOT band pekee inatumika watu wasingeenda kwa wingi mikutanoni kuwashangaa tofauti na wasanii miziki yao inasikika redioni, youtube, video nk
TOT imechuja ndio maana hamuitumii!!.
Kwani Twangapepeta na Ngwasuma bado wapo?
 
Dog ! Sasa yeye c ndio mhitaji anataka kula na kura kwanini asiwafwate? After all wananchi ndio mabosi wake you Dog!
Tanzania ina halmashauri 185 na vijiji 16,000 nchi nzima na kuna siku 90 za kampeni.

Hata kama huna D mbili utajuwa tu kuwa haiwezekani kutembelea vijijini. La 7 B mna shida sana
 
Mshauri athubutu kufanya mkutano popote bila kusomba watu wala kutumia wasanii...uone tofauti!.
Sa100 mwenyew hata kuhutubia ni tatizo hana mvuto...pale Kawe wasanii walivyomaliza kuimba alivyoanza tu kuhutubia kuna baadhi ya watu walianza kusepa wakawa wanazuiwa na walinzi wa ccm wasubiri mkutano hadi uishe!!!.

Mapenzi ya ccm kwa wananchi kwa miaka ya karibuni ni ya kulazimisha, hebu imagine chadema wangetumia hata nusu tuu ya nguvu ccm wanazotumia ktk mikutano yao hali ingekuwaje?? Nadhani watu wangekuwa wanakufa kwa kukanyagana kwa wingi wa watu mikutanoni!!!!.
CHADEMA wameweka mpira kwapani, walikataa kusani kanuni za maadili
 
HAPO BADO ARUSHA, HUENDA ARUSHA IKAVUNJA REKODI YA MAHUDHURIO KAMA SI MWANZA NA KIGOMA,


deal of million dollars, kwishaaaaa
 
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
View attachment 3465307

Hii habari mlitengenezea Masaki?
 
Wewe jamaa una utani mbaya sana. Yaani huyu ndiye kakupa ajira hii!
Utani unaanzia wapi? Oktoba si hiyo hapo usoni?? Tunatiki na Samia tunaye hadi 2030
 
Back
Top Bottom