SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
Mange Mikutano.jpg
 
Tunachokijua
Mange Kimambi amejitanabaisha kama mwanaharakati wa masuala mbalimbali hususan ya kisiasa. Amekuwa akizungumzia mambo mengi ya kisiasa yanayoendelea nchini Tanzania.

Madai

Hivi karibuni kumeibuka ujumbe ama chapisho linaloonekana kuchapishwa katika ukurasa wa mtandao wa X wenye utambulisho wa Mange Kimambi, Tazama hapa. Chapisho hilo linaandika;

Kiukweli Watanzanua mnakera, mnajaza comments hapa na bado mnajaza mikutano ya CCM. Hapa ni Mbeya leo (Inafutwa).

Je, ni kweli chapisho hilo limeandikwa na Mange Kimambi?

Ufuatiliaji wa kina uliofanywa na JamiiCheck umejiridhisha kuwa chapisho hilo si la kweli.

Utafutaji kwa kutumia maneno muhimu yaani Keyword Search, JamiiCheck imejiridhisha kuwa hakuna ujumbe wowote katika ukurasa wa X wenye utambulisho unaonekana kwenye chapisho hilo ambao umechapishwa, hivyo basi chapisho hilo ni la kughushi.

Chapisho hilo linalosambazwa ni la kughushi kwani linakosa baadhi ya vitu muhimu ambavyo vinaonekana katika ukurasa wa X. Mathalani rejelea sehemu ya chini ambayo inaonesha muda na tarehe, inakosekana sehemu inayoonesha views (waliotazama), rejelea pia mpangilio wa tarehe.

Aidha ufuatiliaji kwa njia ya mtandao umebaini kuwa hadi wakati taarifa hii inaandikwa Septemba 05, 2025 ukurasa huo ulichapisha taarifa kwa mara mwisho Juni 16, 2025 na ku repost kwa mara ya mwisho Agosti 10, 2025 ambayo ndiyo taarifa ya mwisho inayoonekana ukiondoa 'Pinned post'. Lakini pia taarifa hiyo haipo katika ukurasa wake wa X ambao ndiyo amekuwa akiutumia mara kwa mara.
MIkutano ya sa100 propaganda mingi watu waonekane weengi kwamba anakubalika...sio kweli, jiulize nguvu inayotumika kuvuta watu hapo kwenye mkutano.
Mkutano wowote wa sa100 ukiwa na nyomi kama hilo pasipo kusomba watu kwa malori wala wasanii kutoa show za bure....naahidi oktoba nitatik!!.
Kwani huo utalatibu umeanza kipindi cha samia au ndo utaratibu wa siku nyingi wa ccm?
 
Kama ww ingetokea kuwa kuna usafiri wa bure na ubwabwa bwerere wa pesa ya mafisadi iliyochangwa pale Mlimani City, pia show za bure za wasanii utaachaje kwenda kumuona kahaba wa taifa aliyeuza bandari ?
Mkuu ni ukweli kabisa hauna uelewa wa mambo... kabla ya DP World - Bandari hiyo hiyi ilikuwa inaendeshwa na TICTS ya wazungu... kwani ni Samia ndio aliuza kipindi hicho???

Elewa ile kelele kipindi cha DP ilikuwa ni vita kubwa sana ya kibiashara - na TICTS walifanya vizuri sana kuamsha hisia kupitia fedha walizohonga kila mtu na kuna madeal kibao yalikatwa... walitumia ujinga wa wabongo.. maeneo alokuwa anaendesha TICTS leo ndio anaendesha DP... kipi kigeni hapooo????
 
Anataka kupangia watu,yeye nani anampangia maisha yake.Ukisikiliza hawa wana harakati wa bongo unaona jinsi gani tuna ufinyu wa kufikiri.Wanatabia yakulazimisha maadui zao wawe ni maadui wa kila mtu.Watanzania wanaweza kua wajinga ila sio kiasi chakuwafanya wasijue namna yakuishi na kuchagua maisha yao.Kama ilivyo kwenye mpira huwezi kuwalazimisha watu washabikie timu nayoipenda wewe ndivyo ilivyo pia kwenye siasa,kila mtu ana upande wake na hiyo ndio demokrasia.Apunguze ujinga.
 
Anataka kupangia watu,yeye nani anampangia maisha yake.Ukisikiliza hawa wana harakati wa bongo unaona jinsi gani tuna ufinyu wa kufikiri.Wanatabia yakulazimisha maadui zao wawe ni maadui wa kila mtu.Watanzania wanaweza kua wajinga ila sio kiasi chakuwafanya wasijue namna yakuishi na kuchagua maisha yao.Kama ilivyo kwenye mpira huwezi kuwalazimisha watu washabikie timu nayoipenda wewe ndivyo ilivyo pia kwenye siasa,kila mtu ana upande wake na hiyo ndio demokrasia.Apunguze ujinga.
Hawana akili hao.
 
NAomba ile video ya waliomwagwa na fuso mmoja analia anataka kukojoa. Yaani hata fuso liliona haliwezi shiriki upuuzi likawamwaga
Ukichoandika hapa na utoto.Hizo ni ajali kama zingine na hazina uhusiano na siasa.Siasa zisitufanye tuwe wajinga.
 
View attachment 3465307
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
View attachment 3465307
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue

Polepole kwa ushahidi huu, CCM acheni kutuambia mtafanya nini eti ndani ya siku 100. Jibuni hoja zake, haziepukiki, hizo ndizo za wananchi!
 
View attachment 3465307
Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
Aelewe tu online republic ya wa Tanzania ni less than 10% ya nchi

And katika hiyo 10%, Wenye kupaza sauti have nothing to do with actual polticis

Wakishapiga jingle humu wanaendelea na maisha yao
 
Watu wamesombwa na magari toka uyole tukuyu igawilo vwawa chimala tunduma songwe mange anayajua haya.
 
Back
Top Bottom