huyu binti amjui mungu wala haamini mungu kama yupoAcha tamaa focus kwny jambo moja na umuombe MUNGU atakusaidia.
nishasoma na nishaelewa tangu kbla sijacomentiSoma vizuri uzi kisha ndio uje kujibu
Sasa we unahubiri dini hapa au unajibu maswali niliyouliza?nishasoma na nishaelewa tangu kbla sijacomenti
najua binadamu mkishashikwa na matatizo ndo umkumbuka mungu kama yupo
uamini ulimwengu wa kiroho nashangaa unajiuriza maswari kama hayo ambapo ufafanuzi wake wahitaji kumuhusisha MUNGU na wewe mwenyewe unajua
hii inadhiirisha unachokipinga unajua ukweli wake
HAKUNA KAMA MUNGU BINTI tubu kwa dini ulomkuta nayo mzazi wako
kwanza then utapata msaada yakinifu
kumbe una tatizo loloteSasa we unahubiri dini hapa au unajibu maswali niliyouliza?
Tatizo lenu ndio hilo, kitu kama hujakipatia ufumbuzi au hujui namna ya kutatua unasingizia either Mungu au shetani.
By the way sina tatizo lolote lile
Una = hunakumbe una tatizo lolote
basi wewe ni JIMENA MPINGA MUNGU
hayo manyokanyoka makunguru tupa kule ponda raha kufa hakuji !!
hahahahaaaa.... nilivoona upo kimya mkuu Mzimu wa Kolelo, nikajua tayari ushanyakuliwa mbinguni, ALAS kumbe bado unagawa neno la uzima?kumbe una tatizo lolote
basi wewe ni JIMENA MPINGA MUNGU
hayo manyokanyoka makunguru tupa kule ponda raha kufa hakuji !!
teh ! teh ! teh ! nipo bwana bado sijanyakuliwahahahahaaaa.... nilivoona upo kimya mkuu Mzimu wa Kolelo, nikajua tayari ushanyakuliwa mbinguni, ALAS kumbe bado unagawa neno la uzima?
God bless !
Hivi huyu shetani yupo kweli hadi mi niwe upande wake?? Unaweza kunithibitisha kuwa yupo?Hapo hauhitaji mtume wala nabii ka ukijua wewe upo upande wa shetani katika uzao wa wanadamu na vitu vingi vinasababisha hivyo na usidanganywe ukaambiwa ni ndoto tu hakuna kaa ukijua ndoto ni bayana kabisa ulivyo ota ndivyo ulivyo
Hebu funguka zaidi basi kuhusiana na post yenyewe huenda ukasaidia kwa kiasi fulaniUjue huu Uzi kuja jamii intelijensia una maaana jamani maana huyu MTU mpaka anapata nafas ya kutyp bado hajajijua kama yeye MTU hili in tatizo anahitaj msaada wa kisaikolojia la sivyo jamii forum na jamii kwa ujumla itampoteza huyu MTU
Asante sana mkuuMkuuu Mtoa mada pole kwa ndoto nzito namna hiyo,hapo ulipofikia ni kwa nani yako?hiyo nyumba sio nzuri