Nyoka wa ajabu

Nyoka wa ajabu

Kuna vitu upo au soon utakua on progress unavitaka kwa kuona vitakusaidia (njiwa) na huvitafuti au hutovitafuta kiuhalali sana kivile (nyoka) , lakini sivyo hivo unavovidhania ,havibebeki (kunguru) vitakusumbua.
mmnnnh?....
 
1469872596810.jpg
 
Duh nyoka wote wangefanana hivyo ningemfuga mmoja. Ila hili la bidada, mimi huwa naota sana nyoka ila sijawahi kuwa nyoka. Wanasema ukiota nyoka ina maana una maisha marefu lakini ndo hivyo wanajimu bwana.

Kawa nyoka kisha njiwa wakageuka kunguru
 
Muombe Mungu akusaidie kuepukana na mdoto zenye maono ya ajabu.....huenda ikawa ni mapepo yanakunyemelea hvyo ukizembea utajikuta katika serious problem,na kingine uwe na desturi ya kufanya maombi mara kwa mara ucje ukadanganywa eti uende kwa mganga akuangalizie tatizo lako ni nini utajikuta unakuwa mhanga wa shetani na kuwa ZOMBIE.
 
Jamani mkuu..wew si wew tu..yaniwew niwew tu..ukijionanyoka sawa binadam sawa niwew huyo....sasamaswala kuuliza wew ninan hayo wakati unajiona upoje....sio vizur...au unataka uwe yule
 
Duh nyoka wote wangefanana hivyo ningemfuga mmoja. Ila hili la bidada, mimi huwa naota sana nyoka ila sijawahi kuwa nyoka. Wanasema ukiota nyoka ina maana una maisha marefu lakini ndo hivyo wanajimu bwana.
Wanajimu hadithi zao ni nyingi sana yataka uwe na moyo mgumu haswa kuwafatisha
 
Muombe Mungu akusaidie kuepukana na mdoto zenye maono ya ajabu.....huenda ikawa ni mapepo yanakunyemelea hvyo ukizembea utajikuta katika serious problem,na kingine uwe na desturi ya kufanya maombi mara kwa mara ucje ukadanganywa eti uende kwa mganga akuangalizie tatizo lako ni nini utajikuta unakuwa mhanga wa shetani na kuwa ZOMBIE.
Kwa mganga siendi na swala ulilosisitiza la maombi pia liko nje ya uwezo wangu
 
Jamani mkuu..wew si wew tu..yaniwew niwew tu..ukijionanyoka sawa binadam sawa niwew huyo....sasamaswala kuuliza wew ninan hayo wakati unajiona upoje....sio vizur...au unataka uwe yule
nataka niwe yule
 
Back
Top Bottom