Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
Ghafla nimezikumbuka nyimbo za jeshini, enzi zileee
"safari ya mamaa naiombea baraka, safari ya mamaa naiombea baraka,
nilimwambia mama, kwa heri nakwenda, kulijenga taifa langu la leo,
hiyooo mamaaa
kwa heri mamaaa nakwenda zangu yoyoyooo kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana,
nakwenda Mlale
kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana
nakwendaa Ruvu
kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana"
Wadau mnakumbuka nyimbo zipi za majeshi?
"safari ya mamaa naiombea baraka, safari ya mamaa naiombea baraka,
nilimwambia mama, kwa heri nakwenda, kulijenga taifa langu la leo,
hiyooo mamaaa
kwa heri mamaaa nakwenda zangu yoyoyooo kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana,
nakwenda Mlale
kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana
nakwendaa Ruvu
kwa heri mamaa nakwenda zangu mbali sana"
Wadau mnakumbuka nyimbo zipi za majeshi?