Operation Tumaini 1972 JK akiwa ndani A Coy ya Afande Mirudi au siyo? .
Uhundo gani alioukosa? Mi binafsi naona JKT ulikuwa ujinga mtupu. Sikujifunza chochote zaidi ya kujuana na marafiki wapya. That's it. Nilipoteza mwaka wangu bure pasipo na sababu za msingi.
JKT was just a crap!! I'm glad hakuna hou ujinga tena
Mkuu, lilikuwa kosa lako. Kujifunza kuna pande mbili, anayefundisha na anayefundishwa. Inaelekea wakati waliokuwa wanafundisha wanafanya kazi yao, wewe uligoma kujifunza na mwaka ukakatyika hivihiiv bila kujifunza kitu kwa sababu akili yako iligoma kujifunza. Inashangaza sana kusema kuwa JKT ulikuwa ujinga mtupu. kwa sababu pamoja na mapungufu yake, lakini tuliokuwa tumeweka akili zetu pale tulitoka na kitu
Da! mmenikumbusha mbali kweli kweli....
Hao wanaoona kuwa JKT ilikuwa ujinga hakika ni watu wa ajabu kweli, kulikuwa mafunzo sana pale na ile tu peke yake ya kukaa pamoja kwa shida ilifundisha uvumilivu na umoja sana. Wengi walijifunza ukakamavu na kuthubutu. Iliwaweka watu wote sawa, mtoto wa mkuu wa mkoa, mtoto wa waziri, mtoto wa mkulima wote tulitafuta kuni pamoja, miraba tulikata pamoja na tuliamka saa 11 kasoro pamoja!
Hivi hakuna utaratibu pakafanyika mradi wa kuimba hizi nyimbo katika ala za muziki na kufanya album kweli? Mbona nyimbo za watoto zimefanyiwa huu mpango? Ninaamini yoyote atakaefanya hivi atapata soko sana, ni wengi tunazihitaji hizi nyimbo
Bora Selule basi, huyu naona alikuwa mlinzi wa hanga!.selule!
Nasikitika sana sikukuta jeshi, labda sasa hivi ningekuwa kwenye ulimwengu tofauti na huu. Unajua wengi wataona ni mambo ya kitoto ila aliyeondoa jeshi ndiye aliyeleta hawa vibaka. Vinginevyo wote weangekuwa wako fiti mambo ya kuwa mario kupenda bwerere hakuna. Sasa hivi unakkuta mtu liko slake ni kubwa zima.
What I can say watu waliopita jeshini wote wengi ninaowajua wako responsible, serious fitcally, hata thinking capacity yao ni tofauti. Mtapinga lakini ukweli ndiyo huo.
Kwa kheri!
JKT kwa mujibu wa sheria Ukuruta ilikuwa ni miezi sita tu, miezi mingie sita ulikuwa unabandikwa cheo kingine!.Binafsi nilikuwa kuruta kwa mwaka mmoja. Kuna faida za JKT na mapungufu yake. Faida: nilikutana na marafiki wengi ambao tumeendela kuwa karibu hadi leo, uvumilivu, ukakamavu wa mwili na fikra, nk
Hasara zake: dada zetu wengi waliambukizwa HIV kwa kuwa walilazimishwa kuwa na mahusiano na makamanda pale kikosini na wengine walibakwa. Na mengineyo mengi
Mbona wengi waliopita jkt wanasema ilikuwa very interesting na walijfunza ukakamavu na uzalendo? we mwenzetu ulipitia jeshi la nchi gani?
Mmh! ngoja nisikulaumu sana maana naskia kuna wengine walifanywa kitu mbaya walipokuwa jkt na huenda nawe ulikuwa ni mmojawapo kwani waswahili wanasema, AISIFUYE MVUA,IMEMNYEA!!!!!!!!!!!!
Nasikitika sana sikukuta jeshi, labda sasa hivi ningekuwa kwenye ulimwengu tofauti na huu. Unajua wengi wataona ni mambo ya kitoto ila aliyeondoa jeshi ndiye aliyeleta hawa vibaka. Vinginevyo wote weangekuwa wako fiti mambo ya kuwa mario kupenda bwerere hakuna. Sasa hivi unakkuta mtu liko slake ni kubwa zima.
What I can say watu waliopita jeshini wote wengi ninaowajua wako responsible, serious fitcally, hata thinking capacity yao ni tofauti. Mtapinga lakini ukweli ndiyo huo.
Kwa kheri!
JKT kwa mujibu wa sheria Ukuruta ilikuwa ni miezi sita tu, miezi mingie sita ulikuwa unabandikwa cheo kingine!.