Nyimbo kali za kuingilia ukumbuni kwa maharusi

Omoyo ghone enenda seba jenny Misso....nyubgibe sebebe za Yesu za wazambia
 
Duh sijui huu wa Nuhu Mziwanda-Anameremeta je
 

Attachments

  • Nuh+Mziwanda+-+Anameremeta+%28Official+Video%29.mp4
    12.8 MB · Views: 43
Nafikiri unaitwa "Na wewe tu " wa 2Berry's ft Shirko
Nakumbuka hilo jina. Asante sana.

Wimbo naukubali sana katika nyimbo za sasa za mahaba za kucheza.

Kuna mdogo wangu mmoja anajifanya Mkatoliki sana mkuda mkuda hivi kwenye mambo ya kukubali kwamba kashikwa mpaka kakubali kuoa.

Basi Papa alivyokuja Marekani 2015 naye akawa anataka kuja kwenye ule mkutano.

Nikamwambia, ukifika usipange hoteli kwa sababu wewe mdogo wangu halafu hatujaonana miaka mingi, fikia kwangu ukiweza, tupate wasaa wa kukaa pamoja na kuongea vizuri.

Ombi zuri la kaka mkubwa kwetu kukataliwa ni nadra, akakubali.

Basi baada ya ziara ya Papa kuisha tukawa tupo nyumbani, vyakula kidogo, wine kidogo, nikasema niko na wabongo ngoja niwakumbushe nyumbani. Nikawapigia huo wimbo.

Jamaa ni zile aina za "siwezi kucheza muziki", lakini nilipompigia wimbo huo, mwenyewe alimuita mke wake wacheze.

Wote wakasema wanauzimia sana huu wimbo.

Nikajua si peke yangu.

Asante sana kwa kunikumbusha jina la msanii nitautafuta niusikilize tena.

Huu wimbo unahusika sana kwa maharusi kwa sababu ni mtu anajieleza mapenzi yasiyoisha yake kwa mpenzi wake. Pia, anaelezea anavyotaka kuwa na mpenzi wake huyo mmoja tu. Perfect for harusi.

Youtube link hii hapa

 
Nakumbuka hilo jina. Asante sana.

Wimbo naukubali sana katika nyimbo za sasa za mahaba za kucheza.

Kuna mdogo wangu mmoja anajifanya Mkatoliki sana mkuda mkuda hivi kwenye mambo ya kukubali kwamba kashikwa mpaka kakubali kuoa.

Basi Papa alivyokuja Marekani 2015 naye akawa anataka kuja kwenye ule mkutano.

Nikamwambia, ukifika usipange hoteli kwa sababu wewe mdogo wangu halafu hatujaonana miaka mingi, fikia kwangu ukiweza, tupate wasaa wa kukaa pamoja na kuongea vizuri.

Ombi zuri la kaka mkubwa kwetu kukataliwa ni nadra, akakubali.

Basi baada ya ziara ya Papa kuisha tukawa tupo nyumbani, vyakula kidogo, wine kidogo, nikasema niko na wabongo ngoja niwakumbushe nyumbani. Nikawapigia huo wimbo.

Jamaa ni zile aina za "siwezi kucheza muziki", lakini nilipompigia wimbo huo, mwenyewe alimuita mke wake wacheze.

Wote wakasema wanauzimia sana huu wimbo.

Nikajua si peke yangu.

Asante sana kwa kunikumbusha jina la msanii nitautafuta niusikilize tena.

Huu wimbo unahusika sana kwa maharusi kwa sababu ni mtu anajieleza mapenzi yasiyoisha yake kwa mpenzi wake. Pia, anaelezea anavyotaka kuwa na mpenzi wake huyo mmoja tu. Perfect for harusi.

Youtube link hii hapa


Ooh ahsante pia kwa link. Haha naona dogo uzalendo ukamshinda; enzi zetu huo wimbo ulitufaa sana kwa dedication kwa le mbabes mweeh
 
Ooh ahsante pia kwa link. Haha naona dogo uzalendo ukamshinda; enzi zetu huo wimbo ulitufaa sana kwa dedication kwa le mbabes mweeh
Yani mtu ukimfanyia au akikufanyia dedication ya wimbo huu lazima u melt tu.

Hata kama una moyo wa chuma lazima ukubali tu.

Niligeuka DJ nikamfanya mkatoliki mhafidhina aliyelelewa kambi ya jeshi aserebuke na mama, si kazi ndogo hiyo.
 
Ooh ahsante pia kwa link. Haha naona dogo uzalendo ukamshinda; enzi zetu huo wimbo ulitufaa sana kwa dedication kwa le mbabes mweeh
Shirko uzalendo haujamshinda toka kitambo alikuwa anaimba tu ila ni producer mmoja mzuri saana na mwenye kipaji...huyu black ndiye anajikongoja.

ngoma nyingi za mkubwa na wanawe hasa Ya moto band aliproduce yeye. Yamoto ilipovunjika akachukua hamsini zake ndiye kafanya ngoma inayotamba hapa mjini ya Aslay "natamba" sasa hivi kanenepa ukimwona unamsahau.
 
Back
Top Bottom