Nyie watu wa JF nipe msaada, mbona mnakuwa wakorofi?

Nyie watu wa JF nipe msaada, mbona mnakuwa wakorofi?

Ni VPN gani naweza tumia kwenye desktop computer?
Acha kutumia VPN, zina changamoto zake lukuki.

Njia salama ni hii:

1. Fungua: 1.1.1.1 — The free app that makes your Internet faster.
2. Download kwenye vifaa vyako vyote: Simu, PC etl

Claudflare ni kampuni kubwa huduma ni bure na hakika; Tofauti na VPN ambapo speed inaminywa hadi ulipie.
---
Nipo jf kwa msaada wa 1.1.1.1
1759998014169.png

1759997977912.png
 
Kama una browser yeyote iwe firefox, ms edge au chrome tumia vpn za extensions mimi ndo naona ni rahis kuliko zile za kudownload
 
Back
Top Bottom