Nyie wanaume nyie sio kabisa

Nyie wanaume nyie sio kabisa

Alithamini vya mwlini ulitegemea apewe vya rohoni? hakuna mwanamke ambaye haingizwi mkenge hapa duniani hata wewe mwenyewe ushaingizwa mara kibaaao; msipobadilika na kutafuta roho ya mtu ikoje kabla hamjajitosa mnapapatikia fahari ya macho mustachi mzuri, tabasam mwanana, kifua kipana, mpunga kwa wingi, mkoko wa maana, nk kwa hayo mkae mkao wa maumivu tuuuuu



hata wewe umeshaingizwa mjini mara kibao tu,chunga mdomo wako sio kila mbivu yafaa kuliwa.
 
Sasa celew hii stor imekaaje mala dada katapeliwa wakat mwenyewe uroho wake mala mshkaj kazoe mala umecheka duuu jifunze kuandka script itafanya inoge.

sio kila mwandishi ni Erick Shigongo,nashukru.
 
Mkuu utakula sana mabek3 kama umetahiriwa bure vile,,,hao classic bila kuwadanganya(usizidi tu) utawaangalia hivyohivyo kwa wenzako.

Mwanamke anaamini uongo kuliko ukweli.

^^
Kweli Mkuu,,hao classic tumieni tu,,zetu dagaa
Uongo una gharama zake
^^
 
Huyo jamaa nipeni contact zake unipe maujuzi maana wadaa hawaelewi bila hiyo kitu good

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mbona mi silioni hilo tatizo mpaka ukafikia kusema w'me hawafai..!? Pengine hili langu moja ni chongo, ndo mana sioni vzr.

Au kusema 'hawafai' huenda ni lugha ukimaanisha kuwakubali kwa uongo (appreciate), sawa na kusema w'me ni balaa, balaa ikimaanisha ni noma, na si balaa kwa maana ya janga! Hiyo 'hawafai' kwa kweli imenitatiza, kama ndivyo nilivyoelewa mimi (appreciate au ni noma) hapo sawa, lkn kama umemaanisha kwa maana halisi ya 'hawafai', ndugu hapo mimi "NIMEKATAA". Hilo suala la jamaa ni la kawaida mno na lipo kwa sana tu kwenye hii miji yetu tuishiyo..

Kawambwa.
 
Wadada ogopeni sana wanaume wanaotanguliza mafanikio yao kwenye mazungumuzo yenu ya kimapenzi..wanaume wengi wanao brag about their fortunes siku zote ni waongo,ladies nao wamezidi kuwa ma gold diggers most of then wanawaona wanaume in terms of fortunes,mtu anakupenda kwa moyo wote,eti kwa kuwa hana gari unamcrush..kuweni makini sana dada zangu,zirika na mtu the way he is,wengi wenu mnapenda maisha ya kwenye runinga matokeo yake ndio hayo yaliyomkuta huyo dada.
 
Wadada ogopeni sana wanaume wanaotanguliza mafanikio yao kwenye mazungumuzo yenu ya kimapenzi..wanaume wengi wanao brag about their fortunes siku zote ni waongo,ladies nao wamezidi kuwa ma gold diggers most of then wanawaona wanaume in terms of fortunes,mtu anakupenda kwa moyo wote,eti kwa kuwa hana gari unamcrush..kuweni makini sana dada zangu,zirika na mtu the way he is,wengi wenu mnapenda maisha ya kwenye runinga matokeo yake ndio hayo yaliyomkuta huyo dada.

cc; lara 2
 
swali la kizushi tu..hivi wadada hawawazagi kwamba ngoja nitafute kitu changu na mimi nitoke kwenye life eenhhh...!!
 
Asnam... Labda mie sijaelewa hizo lawama za mwanaume kukosa mishipa ya aibu imetoka wapi nikitumia kigezo cha hii story umetoa.


  1. Dada anatoka na mume wa mtu, kumuonyesha hiyo nyumba yeye inamuhusu nini hadi asimulie shosti zake kuwa huyo mwanaume anajenga hadi kwenda kuonyesha mashosti wake hiyo nyumba (Asnam huyo dada hana mshipa wa aibu kukusanya wenzie kuwaonyesha hiyo nyumba?)
  2. Wanawake tuwe makini saana sometimes... Unaringishia nyumba ambayo anaishi mtu mwingine na wala hata huishi wala hutarajii kuishi hapo? Heshima kitu cha bure, na ulimbukeni ndicho huwaponza wengi in such circumstances.
  3. Analipiwa nyumba, anahudumiwa kila kitu; hayo mengine kwa kweli hayamuhusu hadi pale mwanaume mwenyewe aamue (kwa sababu zake mwenyewe iwe/zisiwe za msingi). Kitendo cha kumdanganya na kwenda kumuonyesha nyumba mtaa mwingine ni wazi kuwa yawezekana bi dada ndiye alikuwa aking'ang'ania kujua anako kaa huyu mwanaume OR kisha someka kuwa ni limbukeni na hushoboka kwa material things kuweza kufanyiwa lolote lile mwili wake.

Huyo mwanaume ni typical mwanaume wa mjini ambae atafanya lolote lile kumpata mwanamke anaye mtaka. Hiyo si kwa huyu baba tu; ni wengi saana.

BTW kuna kitu watu wanasahau... Haijalishi kaka/dada ni wa mjini vipi, kuna kiboko yake tu! Nina msemo "Kila mbabe ana mbabe wake".


umenena jema
 
Aisifiae mvua ...................................................
 
hata wewe umeshaingizwa mjini mara kibao tu,chunga mdomo wako sio kila mbivu yafaa kuliwa.
Limekuchoma hilo badilika in this life i never follow my heart and so no concern at all about kuingizwa mjini
 
Mmh huyo kaka ni professional.na inaonyesha ndio gia yake ya kuwadanganya wanawake, kwani anahisi wanawake wanachopenda ni hela tu.na kwa upande wa wadada kwa nini mtu usitafute chako, badala ya kutegemea vya kupewa.uki work hard na kujiwekea malengo yako, bila ya kuwa na tamaa utafanikiwa tu.mambo ya kitegemea kupewa hayana mwisho mwema
 
Back
Top Bottom