Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
hapo kwenye bold mmmh,,,,waambie na ww watakusikia wanadai hakuna penzi la mkopo siku hizi.
wanaume mzuri ni yule anaemjali mpenz wake kwa kidogo alichonacho,mwanamke pia asitake kuweka njaa/shida zake mbele as if mwanaume aliyempata ndio mwokozi wake..kwani kabla ya kukutana na mimi ulikuwa unaishije? I dont think swala la mausiano yamekuwa siku hizi ni trade..mtu hata haujaspend nae tayari ashakupiga mzinga wa laki au hamsa..je siku mkispend si atakuletea invoice ya kufa mtu...mwanaume anaejitambua ni yule anayejua kwamba mwenzangu akisuka style hii ananimaliza kabisa,akipulizia marashi haya nazimia kabisaa,akivaa hivi nakuwa hoi,then inakuwa ni jukumu lake kumwezesha mwenzi wake kupendeza anavyotaka...ogopa sana mwanaume ambaye ukiwa nae sehemu mmechill yeye ni story za mizigo yake bandarini,mara mwezi ujao napandishwa cheo,mara hammer yangu ni ni old fashioned,kutwa kubrag tuu.