Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Pole mwaya. Haujapaliwa!ha ha haaaaaaaa nimejikuta nacheka kwa sauti kama mjinga
Pole mwaya. Haujapaliwa!ha ha haaaaaaaa nimejikuta nacheka kwa sauti kama mjinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila una roho ngumu unakufa na tai shingoni kila kinachoendelea unakionaNimemuona mwambie aendelee nimpe Busha.
Hahaha Daby wwwwDuuh maneno mengi saana haya.
Yaani wengine kabla muda wa kuyasema haujaisha wameshapewa papuchi na kileleni wamefika.
La kumjibu: ukilegea utajikuta umejibu tu.
Hayo maneno yoooote hutoambiwa siku moja au wakat mmoja na si lazima yawe hayo,yanaweZa yakafanana na hayo ila matam.That's too much.. yn me mwanamme akiniletea izo story nyng ndo mwanzo wa kumkataa, napendaga wanaoenda straight forward and also money talks...[emoji6]
Hapo asipoelewa atakua hana hurumaHii ni text moja
Tatizo shuni tunajulikana humu. Sasa mimi nikutwe kule natamka vile vitu daah...hailipi labda kuvitamkia pm kwako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila una roho ngumu unakufa na tai shingoni kila kinachoendelea unakiona
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji85] [emoji85]Hahaha Daby wwww
Sure bro,Tena cha hali ya juu,unakuta wanaume wengine domo zege wanaamua tumia pesa na bado unakuta hawapati kitu ,Ila kuna waliobobea asee hata bila muamala wa tigo au halotel au voda,yaani akianza panga maneno hapo mdada\mwanamke kachanganyikiwa kwa maneno, kikubwa kwanz mwanaume inatakiwa ajue kupanga maneno mambo ya pesa badae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mh wana maneno matamu sana wakiwa wanataka utam, tena ukute man ana ham na papuch, atabembeleza huyooo, ukimpa tu anaanza tena mambo yake
hahahhh mbona mm pia najulina [emoji23] eb angalia mtu kama bonny vitu anavyoongea kule aisee aibu naona mm mwenye kakaTatizo shuni tunajulikana humu. Sasa mimi nikutwe kule natamka vile vitu daah...hailipi labda kuvitamkia pm kwako.
Unadhan ataambiwa maneno yooote kwa wakat mmoja?Huo muda wa kupanga maneno mengi namna hii naupata wapi na kwakuomba nini kikubwa hivyo? Pesa ndio maneno yangu, asienapesa akariri maneno hayo.
Hivi kweli bonny is your bro!hahahhh mbona mm pia najulina [emoji23] eb angalia mtu kama bonny vitu anavyoongea kule aisee aibu naona mm mwenye kaka
Huo ni uchocheziKwa hiyo haukulegea mkuu?
Ulegezi bwana. Uchochezi anafanya bashite.Huo ni uchochezi
ni kaka angu ndio akuozeshe na husna unampeleka wapiHivi kweli bonny is your bro!
Sasa kwanini asiniozeshe. Ngoja tu wewe.
HahahaUlegezi bwana. Uchochezi anafanya bashite.