Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nauliza papuchi utatoa hutoiHahah kama bint hujielew hapa huchomoi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nauliza papuchi utatoa hutoiHahah kama bint hujielew hapa huchomoi
Daby nasubiri maneno yakoKwa hiyo haukulegea mkuu?
Yaani hata binti mlokole hapo hafurukuti kabisaa,anaweza sahau vifungu vya kwenye biblia kabisaaaHahah kama bint hujielew hapa huchomoi
[emoji23][emoji23] anabaki kusema eeeh eeeh kama yupo laborghafla utakuta dame anaanza kujilegeza utadhani feni la muhindi limekosa power ghafla
Teh teh...Haha sijashtuka japo hii imenibamba nimeirudia kusoma more than 10mn.
"Njoo basi hata unidandanye kuwa bado nathamani kwako ili tu unisogezee siku za kuitazama hii dunia inukayo jasho la dhambi.
UsinibanieHahaha ataionagaaa tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mamaaaaeeee nyie watu khaa
Raha ya hayo maneno ana kwa ana.Daby nasubiri maneno yako
Tena cha hali ya juu,unakuta wanaume wengine domo zege wanaamua tumia pesa na bado unakuta hawapati kitu ,Ila kuna waliobobea asee hata bila muamala wa tigo au halotel au voda,yaani akianza panga maneno hapo mdada\mwanamke kachanganyikiwa kwa maneno, kikubwa kwanz mwanaume inatakiwa ajue kupanga maneno mambo ya pesa badaeHiki ni kipaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Teh teh...
Yaani watu wengine ushawishi waliobarikiwa kwenye mapenzi wangeuelekeza kwenye siasa. Daah JAKAYA CHA MTOTO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Hapo wanawake hunifurahisha sana yani hata uwe unamtonngoza anakuwa hoi ,uwanjani napo hoi ,eeeeh eeeeh zinakuwa kibao ,Mara kung'ata kucha ,daa madada wanashida asee[emoji23][emoji23] anabaki kusema eeeh eeeh kama yupo labor
Nimeilewa hyo text asee [emoji106] [emoji106] [emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hapo ndipo huwa tunapochukulia point.Hapo wanawake hunifurahisha sana yani hata uwe unamtonngoza anakuwa hoi ,uwanjani napo hoi ,eeeeh eeeeh zinakuwa kibao ,Mara kung'ata kucha ,daa madada wanashida asee