Nyie wanaume mna maneno mazuri kweli

Nyie wanaume mna maneno mazuri kweli

Sure bro,
Wewe upo sahihi kabisa,na huo ndo uanaume
Wengine wanajidanganya pesa ndo kila kitu,hapo mm nakataa kuna wanaume maskini Ila wanamili totoz za kishua hatarii,unajua kama mwanaume umiishi kwa kujiamini hata mambo yako utayafanya kwa kujiamini ,mapenzi siyo pesa at all sema pesa some time inatumika kama kiunganishi,
 
Wengine wanajidanganya pesa ndo kila kitu,hapo mm nakataa kuna wanaume maskini Ila wanamili totoz za kishua hatarii,unajua kama mwanaume umiishi kwa kujiamini hata mambo yako utayafanya kwa kujiamini ,mapenzi siyo pesa at all sema pesa some time inatumika kama kiunganishi,
Yaani pesa to some extent tu na kama utaendekeza sawa
 
Sasa mbona unatajataja kuchumbiwa.

Kaa pembeni basi niwinde vitoto vibichi [emoji12]


Au nikupandishe kilimanjaro
ahhaahhah kiboko yako husna ngoja nikuitie yupo jlw anashangaa sijui kama atalala leo [emoji23]
 
Sasa mbona unatajataja kuchumbiwa.

Kaa pembeni basi niwinde vitoto vibichi [emoji12]


Au nikupandishe kilimanjaro
halaf naona umepata msemo wa kunipandisha kilimanjaro mfyuuu ndio mana sitakagi kuweka story zangu
 
Yeah ni kweli kabisa wanaume hutumia maneno kwa kuwa masikio ya wanawake cku zoote ni waambiwe maneno ya namna hiyo. Na akiwa bubu watoto wazuri ataishia kuwaita shemeji.
 
halaf naona umepata msemo wa kunipandisha kilimanjaro mfyuuu ndio mana sitakagi kuweka story zangu
Hahaha...yaani baby wangu unamwona wa kushangaa ptyuuu
ahhaahhah kiboko yako husna ngoja nikuitie yupo jlw anashangaa sijui kama atalala leo [emoji23]
Umekoma. Usirudi A city tena.
 
Kuna baadhi ya wanaume wamebarikiwa sana,,ukikosea tu ukajirudisha ndo Kwisha

"Usiniache kwenye dunia ya maumivu, Usiniache kwenye mvua ya sononeko,.. Njoo unirudishie tabasamu kwenye maisha yangu.. Njoo unibusu nabusu lako litokomeze maumivu haya ..Bado nahitaji joto tamu la huba toka kwako .. Njoo basi unifute machozi.. Nirudishie zile siku tamu ambazo baridi iliponisurubu usiku.. kimbilio langu lilikuwa kumbatio kwenye mwili wako .. Bila uwepo wako kwangu, tafsiri ya neno maisha ni ukatili.. Njoo basi uniambie unanipenda tena..

Kila ufikapo usiku nimekuwa kiumbe nayezama kwenye bahari ya machozi. Sababu moyo wangu umepondeka sana..
Nirudishie furaha ktk maisha yangu.. Njoo nakoleo ya upendo ili niitumie kulizika neno huzuni.. Tabasamu lako ni wakili pekee awezaye kunitoa ndani ya hili gereza la mateso ya upweke..

Njoo ufungue kinywa chako chenye meno meupe yaliyo ktk mpangiko sanifu.. kisha utoe kibali ili ulimi wako unitamkie kuwa bado unanipenda ...Njoo basi hata unidandanye kuwa bado nathamani kwako ili tu unisogezee siku za kuitazama hii dunia inukayo jasho la dhambi.

Yanini nikudanganye kuwa ntakuhonga dunia?! ..Bila ulazima nijiongezee kifurushi cha dhambi ya kujitakia?!!.. Ilikhali najua dunia njia?!!.. Neno nakupenda sitoacha kukwambia.. Sababu neno nakupenda licha ya uchache wa herufi zake.. lina thamani zaidi chochote chini yahizi mbingu. Hasa linaposimama kama kamusi kwenye swala la kuzitafsiri hisia za moyo uliobeba shehena nzito ya upendo wa kweli.. Kama huu upendo nilionao mimi kwako.''

Huyu mtu utamjibu nini
Mpe papuchi kwanza afu muulize nikujib nini atakwambia "nimesahau kwan nilisemeje"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom