Dick Monger
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 166
- 235
Huyu mbaba anaonekana kauzu, hata akimaliza kula papuch hasem ahsanteSijabatika kusema hivyo....
Huyu mbaba anaonekana kauzu, hata akimaliza kula papuch hasem ahsanteSijabatika kusema hivyo....
Wengine wanajidanganya pesa ndo kila kitu,hapo mm nakataa kuna wanaume maskini Ila wanamili totoz za kishua hatarii,unajua kama mwanaume umiishi kwa kujiamini hata mambo yako utayafanya kwa kujiamini ,mapenzi siyo pesa at all sema pesa some time inatumika kama kiunganishi,Sure bro,
Wewe upo sahihi kabisa,na huo ndo uanaume
ni kaka angu ndio akuozeshe na husna unampeleka wapi
KheriHahaha
Basi Sawa
hivi mbona maswali mengi hivyo unataka kuniwowa au mana maswali ya hivyo yanaulizwa na mtu anaetaka kukuchumbia. Kiukweli ukweli.
Kheri
Kwani nafasi bado ipo?hivi mbona maswali mengi hivyo unataka kuniwowa au mana maswali ya hivyo yanaulizwa na mtu anaetaka kukuchumbia
hahahha nafasi imejaaKwani nafasi bado ipo?
Yaani pesa to some extent tu na kama utaendekeza sawaWengine wanajidanganya pesa ndo kila kitu,hapo mm nakataa kuna wanaume maskini Ila wanamili totoz za kishua hatarii,unajua kama mwanaume umiishi kwa kujiamini hata mambo yako utayafanya kwa kujiamini ,mapenzi siyo pesa at all sema pesa some time inatumika kama kiunganishi,
Sasa mbona unatajataja kuchumbiwa.hahahha nafasi imejaa
ahhaahhah kiboko yako husna ngoja nikuitie yupo jlw anashangaa sijui kama atalala leoSasa mbona unatajataja kuchumbiwa.
Kaa pembeni basi niwinde vitoto vibichi
Au nikupandishe kilimanjaro
halaf naona umepata msemo wa kunipandisha kilimanjaro mfyuuu ndio mana sitakagi kuweka story zanguSasa mbona unatajataja kuchumbiwa.
Kaa pembeni basi niwinde vitoto vibichi
Au nikupandishe kilimanjaro
Njoo ujaribu....Huyu mbaba anaonekana kauzu, hata akimaliza kula papuch hasem ahsante
AkuuuNjoo ujaribu....
Hahaha...yaani baby wangu unamwona wa kushangaa ptyuuuhalaf naona umepata msemo wa kunipandisha kilimanjaro mfyuuu ndio mana sitakagi kuweka story zangu
Umekoma. Usirudi A city tena.ahhaahhah kiboko yako husna ngoja nikuitie yupo jlw anashangaa sijui kama atalala leo![]()
Mpe papuchi kwanza afu muulize nikujib nini atakwambia "nimesahau kwan nilisemeje"Kuna baadhi ya wanaume wamebarikiwa sana,,ukikosea tu ukajirudisha ndo Kwisha
"Usiniache kwenye dunia ya maumivu, Usiniache kwenye mvua ya sononeko,.. Njoo unirudishie tabasamu kwenye maisha yangu.. Njoo unibusu nabusu lako litokomeze maumivu haya ..Bado nahitaji joto tamu la huba toka kwako .. Njoo basi unifute machozi.. Nirudishie zile siku tamu ambazo baridi iliponisurubu usiku.. kimbilio langu lilikuwa kumbatio kwenye mwili wako .. Bila uwepo wako kwangu, tafsiri ya neno maisha ni ukatili.. Njoo basi uniambie unanipenda tena..
Kila ufikapo usiku nimekuwa kiumbe nayezama kwenye bahari ya machozi. Sababu moyo wangu umepondeka sana..
Nirudishie furaha ktk maisha yangu.. Njoo nakoleo ya upendo ili niitumie kulizika neno huzuni.. Tabasamu lako ni wakili pekee awezaye kunitoa ndani ya hili gereza la mateso ya upweke..
Njoo ufungue kinywa chako chenye meno meupe yaliyo ktk mpangiko sanifu.. kisha utoe kibali ili ulimi wako unitamkie kuwa bado unanipenda ...Njoo basi hata unidandanye kuwa bado nathamani kwako ili tu unisogezee siku za kuitazama hii dunia inukayo jasho la dhambi.
Yanini nikudanganye kuwa ntakuhonga dunia?! ..Bila ulazima nijiongezee kifurushi cha dhambi ya kujitakia?!!.. Ilikhali najua dunia njia?!!.. Neno nakupenda sitoacha kukwambia.. Sababu neno nakupenda licha ya uchache wa herufi zake.. lina thamani zaidi chochote chini yahizi mbingu. Hasa linaposimama kama kamusi kwenye swala la kuzitafsiri hisia za moyo uliobeba shehena nzito ya upendo wa kweli.. Kama huu upendo nilionao mimi kwako.''
Huyu mtu utamjibu nini
Kwani naichukua yote.?Akuuu
Mi nataka wanaume wapole we unaonekana mkali akuuuKwani naichukua yote.?