Hawa wanapatikana nchi gani mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Mamaaaaeeee nyie watu khaa
Maneno haya yamenikumbusha ule msemo wa "you fake it you make it" unajisemeae ngoja nimjaribu kuwa narudi kakini sirudi kamwe unajifanya kuwa unamsuza roho yake kumbe ndio moja kwa moja unanasaHaha sijashtuka japo hii imenibamba nimeirudia kusoma more than 10mn.
"Njoo basi hata unidandanye kuwa bado nathamani kwako ili tu unisogezee siku za kuitazama hii dunia inukayo jasho la dhambi.
Duu kweli zinaaa haitakuja kuishi duniani
Lazima kubembeleza kwanza asee,papuch kuipata kazi siyo kama nguo kariakoo,suala la papuch inabidi uwe mpole kabisaa ,sasa hapo akisha onja kama chumvi imekolea au bado ndo ataanza mizengwe au atatulia muendeleze penze
Mmmmmmmmmmh!!! Ote mbeeeHayo yoote maneno ya wavulana sisi wanaume tunatuma muamala wa tgo pesa au mpesa tushamaliza
XQOS549M.imethibitiswa umepokea......Kuna baadhi ya wanaume wamebarikiwa sana,,ukikosea tu ukajirudisha ndo Kwisha
"Usiniache kwenye dunia ya maumivu, Usiniache kwenye mvua ya sononeko,.. Njoo unirudishie tabasamu kwenye maisha yangu.. Njoo unibusu nabusu lako litokomeze maumivu haya ..Bado nahitaji joto tamu la huba toka kwako .. Njoo basi unifute machozi.. Nirudishie zile siku tamu ambazo baridi iliponisurubu usiku.. kimbilio langu lilikuwa kumbatio kwenye mwili wako .. Bila uwepo wako kwangu, tafsiri ya neno maisha ni ukatili.. Njoo basi uniambie unanipenda tena..
Kila ufikapo usiku nimekuwa kiumbe nayezama kwenye bahari ya machozi. Sababu moyo wangu umepondeka sana..
Nirudishie furaha ktk maisha yangu.. Njoo nakoleo ya upendo ili niitumie kulizika neno huzuni.. Tabasamu lako ni wakili pekee awezaye kunitoa ndani ya hili gereza la mateso ya upweke..
Njoo ufungue kinywa chako chenye meno meupe yaliyo ktk mpangiko sanifu.. kisha utoe kibali ili ulimi wako unitamkie kuwa bado unanipenda ...Njoo basi hata unidandanye kuwa bado nathamani kwako ili tu unisogezee siku za kuitazama hii dunia inukayo jasho la dhambi.
Yanini nikudanganye kuwa ntakuhonga dunia?! ..Bila ulazima nijiongezee kifurushi cha dhambi ya kujitakia?!!.. Ilikhali najua dunia njia?!!.. Neno nakupenda sitoacha kukwambia.. Sababu neno nakupenda licha ya uchache wa herufi zake.. lina thamani zaidi chochote chini yahizi mbingu. Hasa linaposimama kama kamusi kwenye swala la kuzitafsiri hisia za moyo uliobeba shehena nzito ya upendo wa kweli.. Kama huu upendo nilionao mimi kwako.''
Huyu mtu utamjibu nini
Utam wa hiyo kitu uitolee jasho kidogo ili hata siku umepewa unajiliza ooh beb huu utam kwa nini hukunipa siku zote..siyo maharage ya mbeyaKhaaa!!
Hivi mpaka ukamalize maneno yote hayo papuchi yake si unakuwa umeshaichoka??
Maana sipatii picha namna nnavyopanga kuchepuka na mtu ndio nianze kuongea yote hayo.!!
Mimi nakupa ukweli na pete yangu ya ndoa unaiona.
Hutaki unaenda, umependa tunaendelea.
Mambo ya kuumizana vichwa yaishie huko vyuoni
[emoji23][emoji23][emoji23] pesa tu itakuongelesha banaUtam wa hiyo kitu uitolee jasho kidogo ili hata siku umepewa unajiliza ooh beb huu utam kwa nini hukunipa siku zote..siyo maharage ya mbeya