Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,514
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwa mada yetu tajwa yenye kichwa cha habari kisemacho, vijana wa Sasa na ndoa ni sawa na 'kubet'.
Vijana wa sasa wengi wao wanaoingia kwa ndoa wanaingia kwa woga, kwakuwa washaona mabroo na mashangazi walivyokanyaga nyoka hivyo na wao wanapoona jani wanastuka.
Vijana wengi huingia kwenye mtanange wa ndoa kama wanaenda 'kubet' mpira.
Kama ilivyo kwenye kubet' kuna kupata na kukosa ndivyo na ndoa za vijana wa sasa zilivyo yaani hazieleweki, wengi wao hukosea zaidi na ndoa haijaribiwi.
Kule ukiingia umeingia, sio sawa na kubet' kwamba utakosa alafu ujaribu tena, hapo ndio panakuwa patamu.
Tena wanakuwa washajipanga kabisa kuwa nikibet tu huyu mwanamke akiwa poa basi ndoa hii nakaa, ila kama ndoa ikiwa moto basi naacha.
Hii ni kwa vijana wote wa kike na wa kiume yaani wanabet tu ndoa wanajua ikibuma si wanaachana tu kila mtu na lake.
Vijana wa kike nao ndio hubet zaidi maana wao wanakuwa na machaguo yao ya kutosha na mwishowe wanapata ila wanapata potea.
Sasa kinachokuja kutokea kwa kubet' huko ni kumekuwa na mvurugano wa wanaotaka kuoa na wale waliloingia na kutoka nduki nduki.
Wengi wao wanawatisha wale ambao wanataka kuingia kwenye ndoa maana tayari washaona yaliyomo yamo.
Kumeibuka kundi la vijana wa sasa ambao nao wana kauli yao pendwa ya 'kataa ndoa', vijana hawa wanajifariji kwa kupinga ndoa bila kujua faida yake.
Vijana wa Sasa acheni kubet mpira na ndoa, ndoa sio mchezo wa mpira, ndoa inahitaji uvumilivu wa hali ya juu.
Niende moja kwa moja kwa mada yetu tajwa yenye kichwa cha habari kisemacho, vijana wa Sasa na ndoa ni sawa na 'kubet'.
Vijana wa sasa wengi wao wanaoingia kwa ndoa wanaingia kwa woga, kwakuwa washaona mabroo na mashangazi walivyokanyaga nyoka hivyo na wao wanapoona jani wanastuka.
Vijana wengi huingia kwenye mtanange wa ndoa kama wanaenda 'kubet' mpira.
Kama ilivyo kwenye kubet' kuna kupata na kukosa ndivyo na ndoa za vijana wa sasa zilivyo yaani hazieleweki, wengi wao hukosea zaidi na ndoa haijaribiwi.
Kule ukiingia umeingia, sio sawa na kubet' kwamba utakosa alafu ujaribu tena, hapo ndio panakuwa patamu.
Tena wanakuwa washajipanga kabisa kuwa nikibet tu huyu mwanamke akiwa poa basi ndoa hii nakaa, ila kama ndoa ikiwa moto basi naacha.
Hii ni kwa vijana wote wa kike na wa kiume yaani wanabet tu ndoa wanajua ikibuma si wanaachana tu kila mtu na lake.
Vijana wa kike nao ndio hubet zaidi maana wao wanakuwa na machaguo yao ya kutosha na mwishowe wanapata ila wanapata potea.
Sasa kinachokuja kutokea kwa kubet' huko ni kumekuwa na mvurugano wa wanaotaka kuoa na wale waliloingia na kutoka nduki nduki.
Wengi wao wanawatisha wale ambao wanataka kuingia kwenye ndoa maana tayari washaona yaliyomo yamo.
Kumeibuka kundi la vijana wa sasa ambao nao wana kauli yao pendwa ya 'kataa ndoa', vijana hawa wanajifariji kwa kupinga ndoa bila kujua faida yake.
Vijana wa Sasa acheni kubet mpira na ndoa, ndoa sio mchezo wa mpira, ndoa inahitaji uvumilivu wa hali ya juu.