Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,500
- 86,043
http://xa.yimg.com/kq/groups/20674633/1491800701/name/Kiss-kiss.pps#257,2,Slide
h
aya m-busu huuuooo kafaidi na huyo wako
h
aya m-busu huuuooo kafaidi na huyo wako
<br />wengine wanasema muondoke ili na wao wapate chance ya kuvinjari na small houses zao, kwa hiyo si ajabu mkatibuliwa makusudically.....lol!
hehehe,mbona ww unagawa pipi mie sisemi? afu wifi yangu akijua,itakua sooo! sasa makobe ttutawajuaje? manake inabidi usiwake kwa kweli!
kwani mwezi mtukufu hayo maeneo yako huwa yanaziba?Wewe koma mwezi mtukufu huu
umeona eeeee? hi sikukuu inaweza kwenda na mke wa mtu maana wake wenyewe hawaelewekihahahahaaa.....kila abiria na achunge mzigo wake! Dah
asante sana boss, sijamsingizia kabisa huwa anaandika mambo ya ajabu ajabu!!!!!!!!!!!!Mkuu nakupata sana
Eid Njema mkuu
afu dem/mshkaji mwenyewe wa Arusha
hivi nyie watu hamnielewi au?naomba na mimi niwe wa sita nipigie 0784 10104395
kumbe hufai kuambiwa siri! usimshtue ataacha kukasirika banaa
<br />asante sana boss, sijamsingizia kabisa huwa anaandika mambo ya ajabu ajabu!!!!!!!!!!!!<br />
afu dem/mshkaji mwenyewe wa Arusha
<br />
Duh sikujua mkuu
Kumbe kuna siri imejificha eehh
Mpe zake kama analeta za kuleta
d
<br />aiseee! Hivi kumbe nimeropoka ee?? Dah! Ila ndo vizuri wote mtulizane nyumbani, hako ka small house nako kana wake pembeni jamani!! Mweeh!
<br />Iyo ni kama sadaka pia ni zawadi kwa walofunga, so haigombi!! Alafu nishakustukia wewe unataka kuja kudoea eee?
hivi nyie watu hamnielewi au?
kwanza afadhali namba zenyewe si za kweli............
mara hii umeshaanza kunitenga? siku ile ilikua besdei bana,ntalipa baada ya idd! usinihujumu banaa!
hehehe, hako ka-small hause nako kanakua na big house yake. naye akitoka tu huko home nae anatoka. hii ni ilani ya chama l
Nanyi nyumba kubwa jitahidini kutupatia kile ambacho huwa tunakipata kwa nyumba ndogo na tunakikosa hapa nyumbani. Vinginevyo hata bila vi-sms tutaongoza kwenda nyumba ndogo wenyewe.
hahahhaha si wenyewe kuna ambavyo tunavikosa kwenu ndio tunapata kwa vidumu lo!jishike mkaka mbona kesho balaa mnajiona mko pafect eehe mtajibeba mwaka huu!
<br />Mimi nina booking na watano tena wa humuhumu jf
acha watoke na nyumba ndogo ili na sie tupate nafasi ya kuwa na small house zetu pia. siku hizi kutoka ni kuliana timing,tena anajidai hata simu hapigi kumbe ndo na mie staki mawasiliano. werrraaa werraa! eid njema jamani,lol