Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na vi message visivyo na maana.
Angalizo
Yaani we umeamsha hata nawaliokuwa wamelala, ndo watawakamatilia kisawa sawaa!! Hapo mke sasa akili kumkichwa, ukitaka wa kwako ashikwe na atashikwa kweli! Ohooo........shauri zenu!