Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,832
- 145,692
Kusema haki za binadamu unakubali, lakini haki za mashoga hutaki ni contradiction.Mbona M7 na Ruto wana uthubutu wa kusema wazi kuwa hawataki ushoga kwenye nchi zao?
Sisi kama nchi tunaweza kusema tu kuwa haki za binadamu tunakubali, lakini kipengela cha ushoga ni HAPANA!
Ni sawa na kusema haki za binadamu unakubali, lakini hutaki haki za wahindi kuwa na dini yao.
Eti kwa sababu kwenu wengi ni Waislamu na Wakristo.
Mashoga nao ni binadamu. Hata kama ni minorities, wana minority rights.