Kama hii ndio kauli hatari sana kwa taifa hili
Yaani naona aibu Kwa kauli hii ya raisiWakuu paa liko wazi huko uchafu wote unaingia ndani.Tumekwisha
Rais amenukuliwa vibayaNa nukuu maneno haya amesema hivi “Msiwalegeze watoto wetu fanyaneni wakubwa kwa wakubwa watoto waache”
Chawa nawasubiri muandamane kuunga mkono au kumpongeza mama yenu karuhusu fanyaneni wakubwa lazima tutaelewana tu dhambi tulioifanya itaturudiaView attachment 2581271
Nimeka na video kabisa play video utizame na kusikilizaHata hii post nayo mkaitazame
Nadhani mleta mada Una uelewa duni Sana wa kupambanua mambo.
Rais anaposema fanyianeni wakubwa hapo anatumia fasihi kufikisha ujumbe Kwa mataifa makubwa kwamba hayo mambo ya upinde wafanyiane wao Kwa wao na sio kuyaleta Kwa watoto(watanzania).
Mkuu,jukumu la kunusuru TAIFA unalo wewe Kwa kulea watoto wako kwenye maadili na pia kuwalinda dhidi ya huo huaramia. Mashoga unaowaona Leo waliharibiwa wakiwa watoto na watu wanaowazunguka.Niliwahi kusema hapa kwamba hakuna juhudi za makusudi za kukomesha huu ujinga. Simuoni Rais wala kiongozi yoyote mwenye nia ya dhati ya kukomesha ufuska huu. Wanajali matumbo yao tu hawaangalii vizazi vyetu
Na nukuu maneno haya amesema hivi “Msiwalegeze watoto wetu fanyaneni wakubwa kwa wakubwa watoto waache”
Chawa nawasubiri muandamane kuunga mkono au kumpongeza mama yenu karuhusu fanyaneni wakubwa lazima tutaelewana tu dhambi tulioifanya itaturudiaView attachment 2581271
Rais huyu hana marufuku, yeye ni kama awamu ya pili! Mambo mabaya, iwe ni wizi, ushoga, ubadhirifu, daima atatoa jinsi ya kuyaendeleza na sio kupiga marufuku.Na nukuu maneno haya amesema hivi “Msiwalegeze watoto wetu fanyaneni wakubwa kwa wakubwa watoto waache”
Chawa nawasubiri muandamane kuunga mkono au kumpongeza mama yenu karuhusu fanyaneni wakubwa lazima tutaelewana tu dhambi tulioifanya itaturudiaView attachment 2581271
Kweli kabisa na wasaidizi wake wamempotosha! Kazi ipo!Rais amenukuliwa vibaya
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Tumeamriwa kuombea wakuu walio juu yetu na wenye mamlaka ko badala ya kulalamika omba toba na Rehema juu ya nchi na viongozi wako ili
Mambo ya Pemba Lamu Pate Mombasa yabaki huko huko asituletee hukuNa nukuu maneno haya amesema hivi “Msiwalegeze watoto wetu fanyaneni wakubwa kwa wakubwa watoto waache”
Chawa nawasubiri muandamane kuunga mkono au kumpongeza mama yenu karuhusu fanyaneni wakubwa lazima tutaelewana tu dhambi tulioifanya itaturudiaView attachment 2581271
Basi Kama ndiyo tumekubaliana hivyo,Basi na yule Askari wa Zenji achiwe huru, maana ni Mtu mzima yule tena mwenye misuli yake hadi Jeshi la Police wakampa ajira,siyo Mtoto mdogo yule!!Mkubwa hafundishwi