Nyie Gazeti la 'Habari Leo' mnadhani Haji Manara aliposema kuwa hiyo Klabu wenye Akili ni Wawili tu na waliobakia wote ni Majuha (Fools) alikosea?

Nyie Gazeti la 'Habari Leo' mnadhani Haji Manara aliposema kuwa hiyo Klabu wenye Akili ni Wawili tu na waliobakia wote ni Majuha (Fools) alikosea?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
TANGA; YANGA ya Dar es Salaam ni miongoni mwa klabu tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokosa sifa ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaofanyika Tanga asubuhi hii.
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Kiomoni Kibamba, aliwaeleza wajumbe wa mkutano huo kuwa kanuniza uchaguzi zinaeleza kwa wanachama wa TFF upande wa klabu, mpiga kura atakuwa Mwenyekiti na wala si mtu mwingine.
-
Kutokana na hali hiyo Yanga imekosa sifa hiyo kwani imewakilishwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Rodgers Gumbo. Klabu nyingine ambazo pia zimekosa sifa hiyo ni Kagera Sugar na Dodoma Jiji.
-
Pia wapo wajumbe wanne kutoka vyama tofauti vya mikoa nao wamepoteza sifa kutokana na kuwa wawakilishi na kufanya idadi ya wapiga kura halali kuwa 76 badala ya 83.

Chanzo Taarifa: Habari Leo

Mchambuzi mahiri Jemedari Said wala hakukosea aliposema kuwa Yanga SC ni Klabu ya Kihuni na inaongozwa Kihuni.
 
Wahuni sio watu wazuri mahali popote pale. Si mnaona hata jinsi komredi Polepole anavyolia na wahuni wanavyoendelea kuharibu chama chao.
 
Hao Wajumbe waliokosa sifa wanalipiwa au wanalipa wenyewe gharama za kwenda na kuwepo hapo Tanga?. Na je hawakujua hilo kabla kusafiri?.
 
Hao Wajumbe waliokosa sifa wanalipwa au wanashikilia gharama za kwenda na kuwepo hapo Tanga. Na je hawakujua hilo kabla kusafiri?
 
Yanga ni useless sana ndo mana Hata sishangai slogani yao inayo amasisha upinde Yani ushoga ....ety nyuma mwiko ..ni mwiko gani huo Kama sio uboo tu😒😒😒
Mkuu umenifanya nicheke sana.
 
Yanga ni useless sana ndo mana Hata sishangai slogani yao inayo amasisha upinde Yani ushoga ....ety nyuma mwiko ..ni mwiko gani huo Kama sio uboo tu😒😒😒
Nyuma mwiko = kutorudi nyuma, ukute we ni mke mtu na una watoto kabisa huku unawaza ushoga, ushabiki wa mpira unawatoa ufahamu mpaka mnajianika hadharani, reply yako imejaa chuki kwa timu ya Yanga na mashabiki wake
 
TANGA; YANGA ya Dar es Salaam ni miongoni mwa klabu tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokosa sifa ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaofanyika Tanga asubuhi hii.
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Kiomoni Kibamba, aliwaeleza wajumbe wa mkutano huo kuwa kanuniza uchaguzi zinaeleza kwa wanachama wa TFF upande wa klabu, mpiga kura atakuwa Mwenyekiti na wala si mtu mwingine.
-
Kutokana na hali hiyo Yanga imekosa sifa hiyo kwani imewakilishwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Rodgers Gumbo. Klabu nyingine ambazo pia zimekosa sifa hiyo ni Kagera Sugar na Dodoma Jiji.
-
Pia wapo wajumbe wanne kutoka vyama tofauti vya mikoa nao wamepoteza sifa kutokana na kuwa wawakilishi na kufanya idadi ya wapiga kura halali kuwa 76 badala ya 83.

Chanzo Taarifa: Habari Leo

Mchambuzi mahiri Jemedari Said wala hakukosea aliposema kuwa Yanga SC ni Klabu ya Kihuni na inaongozwa Kihuni.
Kesi yao jana wameshindwa pia na waliambiwa mapeema hawatoboi ila wakakaza fuvu! shida ni kutegemea kubebwa bebwa tu na serikali.
 
Back
Top Bottom