Ndugu yangu usitake kuzunguka saana,
Kumbuka waazungu wanasema in order to build something strong it helps to start with best and possible materials. Sasa msingi mbovu uliowekwa na Nyerere ndio unawamaliza sasa.
Katika hiyo msingi mibovu ya nyerere umo pia wa kufuta ujinga? Je unaweza kuondoa umasikini na maradhi kwenye jamii yenye watu wajinga?Ukijibu hayo ndio utaona wewe ndio unaaza kuzunguka zunguka. Na mpaka mwisho wa hi comment yako utakuwa umeshahama kwenye hoja nyingine na ukimbia hii. Tuendelee..........
Uongozi bora sio wa mtu mmoja. Huwezi kumlaumu nyerere sababu ya tamaa ya viongozi wengine walijua baada ya uhuru ni zamu yao na sio zamu ya wananchi kufaidi. Kwa hiyo Tanzania inakosa viongozi wa mfano wa Nyerere. Vingozi wa leo wanakuwa wa kwanza kujimbiizia mali. Tumeona Wanajigawia nyumba za masaki na mambo mengine mengi. Tunaona wanavytangalliza maslahi yao kwanza kwenye mambo ya Posho. Wakati wa nyerere sio Viongzi na uongozi ulikuwa ni WITO.Kumbuka kuwa alisema bayana ili Tz iendelee inahitaji vitu vinna yaani watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Nikuulize ni kipi Tz imekikosa mpaka wakti wa Nyerere aliweza kuasisi ulanguzi na uhujumu uchumi kitu ambacho kimekomaa na leo umekuwa ufisadi?
Angalia sasa. Kiongozi bora ni yule mwenye VISION. Mawaziri na wabunge wa enzi y nyerere nawahurumia sana. Tuko nao mtaani kama watu wa kawaida. Lakini hawa wa sasa Wamefanya siasa kuwa kama kampuni binafsi. Ni mambo kama hayo ndiyo yanamfnya kuwa kiongozi wa aina yake.
Kuhusu nyerere kuasisi ulanguzi hilo halina ukweli hata chembe. Hizo ni tamaa za viongozi wachache na sabotageiliyofanywa na mfumo wa kibepari.Otherwise unachangia kwa kutumia ushabiki na hisia.
So how does this relate to Nyerere.!!!!!!!!! Nyerere alitemebeza bakuli na hakupewa pesa za kutosha kufanikisha mipango yake. Aligoma ufuta masharti aliyoona hayafi kwa wananchi. Hiyo ni sifa mojawapo ya kiongozi bora kuamua jambo kwa msalhi ya taifa na ma mrefu na sio kuangalia miaka 5 au 10 tu.Lakin hata ,agazeti yenu usomi. Je hujui kama Tz ni nchi ya tatu toka chini kwa kutembeza kibakuli yaani ombaomba duniani? fuatilia income per capital.
Kuna tofauti ya kiongzoia anayekopa kuwezesha wananchi wapate elimu bure na yule anayeopa kununua ndege ya Rais. Huini hapo kuwa kuna STRATEGIC , VISIONARY leader(Nyerere) na foreman( Waliofuata)??????
Kwa hiyo kwako kwe kikwete na Mkapa kutembeza bakuli mzigo wote na lawama unamuendea nyerere.!!!!!?????? Nyerere alitemebza bakuli akanyimwa sababu hakutaka kufuata masharti ya ajabu ya "wakubwa". Waliofuta wanatembeza bakuli na wanapewa mipesa lakini mbna kuna watu hawaoni tofauti. Je uanjua deni a Tanzania Huyo nyerere alilicha shilingi ngapi na hawa wanaooneana wanafanya kazi wanatumia kiasi gani cha mkopo .
Nimekuambia weka hapa data unazotumia tuongee lugha moja. Na usisahau hapa tunamuongelea nyerere Uomba omba wa tazania leo au jana sio wa nyerere