kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Pamoja na mambo mengi kwenda ndivyo sivyo hapa TZ lakini hakuna Kiongozi yoyote wa zamani mwenye uwezo wa kukemea nchi isiangamie, nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini? Nimepata jibu kwamba japo hakuna mtu mkamilifu kabisa 100% lakini Mwalimu Nyerere alikuwa mtu safi ndio mana hakuogopa kusema pale alipoona ndivyo sivyo.
Ari hiyo hakuna aliyenayo sasa kwani kila mmoja akijaribu anaogopa kuambiwa mbona na wewe......................................................
Wana JF kweli si kweli? kama si kweli nani anaweza kuvaa kofia ya Mwalimu Nyerere?
Ari hiyo hakuna aliyenayo sasa kwani kila mmoja akijaribu anaogopa kuambiwa mbona na wewe......................................................
Wana JF kweli si kweli? kama si kweli nani anaweza kuvaa kofia ya Mwalimu Nyerere?